Finally leo nimepima UKIMWI

Cjapima,naogopa sana...

Nakuambia usiogope,ukute Mungu alimpa malipo yake huyo mumeo kwa matendo yakee,,,wengi mbona hua wanaenda kupima lakin si wote wanakua wameathirika,,
Ukipima nakuambia utakua unajiaminii utasonga mbele roho wa hofu atapoteaaa
Usiache kunipa mrejesho ukishapima
 

Haya my dear...ntajitahidi niende..yaani asante sana...maana ananitisha sana...am so down Dina..you can imagine am so good at encouraging watu but For this nimegonga mwamba...i will give you mrejesho
 
Haya my dear...ntajitahidi niende..yaani asante sana...maana ananitisha sana...am so down Dina..you can imagine am so good at encouraging watu but For this nimegonga mwamba...i will give you mrejesho

Haya mami asikutishe kabisaaa,utashinda nenda kwa amani
 
Haya my dear...ntajitahidi niende..yaani asante sana...maana ananitisha sana...am so down Dina..you can imagine am so good at encouraging watu but For this nimegonga mwamba...i will give you mrejesho

Nenda kapime,itakua hakupenda baada ya wewe kumuacha kwa hiyo akaamua kukutisha,usiogope.
 

Kapime mwaya.... sio linanii hilo?
Ukute limekutisha tu likuvuruge. Hao wa type hiyo ndio wasambazaji picha za wanawake mitandaoni.
 
Kapime mwaya.... sio linanii hilo?
Ukute limekutisha tu likuvuruge. Hao wa type hiyo ndio wasambazaji picha za wanawake mitandaoni.

Asante sana my dear...will do that...leo kantext this morning ananiambia nakutakia sikukuu yetu njemawas about to die nlivyorealize kuwa leo ni AIDS day
 
Asante sana my dear...will do that...leo kantext this morning ananiambia nakutakia sikukuu yetu njemawas about to die nlivyorealize kuwa leo ni AIDS day

Umezaa nae??kama vipi mblock
 
Umezaa nae??kama vipi mblock
Dah , huyo anamtesa dada wa watu kifikra ile mbaya..! La Princesa, huyo anakutisha na hana lolote, nenda kapime na nakuhakikishia huna tatizo, anakuumiza tu kisa labda umemuacha na moyo wake unaumia..! Dinazarde wewe umepima lini?
 
Last edited by a moderator:
Naomba kuuliza... hivi kutimiza wajibu wako kwa kujua status ya afya ya mwili yako ni swala la kupewa hongera!
 
Kweli kabisaaa usemavyo

Huyo anamtisha tu,kuna watu wengine huwa hawataki kukubali matokeo,jamaa hataki kuamini ameachwa kwa hiyo anaamua kumtesa binti kifikra kwa kumtisha na kumuogopesha.

Cha msingi binti aende kupima aujue ukweli ili awe huru,always the truth sets people free.
 

Pia anamtisha ili aogope kua kidume mwingineeeee
 
Dah , huyo anamtesa dada wa watu kifikra ile mbaya..! La Princesa, huyo anakutisha na hana lolote, nenda kapime na nakuhakikishia huna tatizo, anakuumiza tu kisa labda umemuacha na moyo wake unaumia..! Dinazarde wewe umepima lini?

Nilipima mwezi wa 8 mwaka huu
 
Last edited by a moderator:
Nahisi kuna kauongo hapa.
Ni wapi huko walipokwambia urudi baada ya mwezi ukapime tena?
Hata ukienda kupima kila wiki haitasaidia...cha msingi acha uzinzi..oa na utulie na mkeo

Baada ya mwezi mmoja,ila mimi sasa ntafanya kila wiki naenda kupima.
 
In red: Ndio mkuu ila sio wa kuoana,ni dates tu akataka nikapime kwanza,kwa kua nilikua sijawahi kupima ikanibidi nije kuomba ushauri humu kwa wadau wakanipa makonfidensi
Kapime acha uoga mkuu.

Sina uoga ila sina sababu ya kupima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…