tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
umeona eeh wanatabu kweli, sijui walilazimishwa?wa2 mliosoma degree za ualimu mnajulikana 2!
umeona eeh wanatabu kweli, sijui walilazimishwa?wa2 mliosoma degree za ualimu mnajulikana 2!
una maana gani?Bienvenido a la nueva vida mis hermanos y hermanas! Felicitación para lo que han conseguido. Sólo pocas personas han alcanzado su nivel. El debe saber la mejor manera de aplicar lo que alcanzó en todos esos años. Ahora es el momento.
daaah! Mkuu, umenitouch mpaka 'kumoyo' yaniUkweli uko palepale whether we like it or not,mtaani 2nawakaribisha sana ila mawazo mgando ya kutaka kusaka kazi jijini tu itawatokea puani labda km unachannel(vimemo) hata kama ni nje ya jiji omba ukafanye upate experience kidogo,mtaa ni kugumu kama utabweteka usiogope soli ya kiatu kuisha katika kusaka kazi ukipata pa kujishikiza utanunua kipya ila kama fighter probability of succes ni kubwa kwako,as u knw mkataba wenu na HESLB(bodi ya mikopo)ume-expire tayari