Kocha wa Tanzania alisema kuwa Morocco wanabebwa sana ikabidi Karia awe tofauti na kocha wake ili kulinda kibarua chake CAF na si kwa maslahi ya Taifa leo hii Morocco wanabebwa tunalia tena yule kocha atakua alishangaa sana kwa maamuzi yale ila kwa kilichotokea atakua kafurahi..