Misri vs MoroccoSenegal VS Nigeria
Save hii.
Morocco lazima waingie fainal, kama hadi wanachagu refa wanaomtaka wao si hatari hioSenegal VS Nigeria
Save hii.
HapanaaaMisri vs Morocco
HawaingiiMorocco lazima waingie fainal, kama hadi wanachagu refa wanaomtaka wao si hatari hio
Nita ku tagHapanaaa
wana simba tena kwa utabiri hapo utaangukia pua tu!..😅Senegal VS Nigeria
Save hii.
Morocco wakimkamata Ademola Lookman\ Sam Chukwueze(sub) na Alex Iwobi... Match imeisha.Kabla ya yote kwanza hii game ya Nigeria na Morocco nyazi nadhani zitawaka moto hapo kesho.
All d best
Mpira ukichezwa kwa haki
Hizi ndizo timu za final
Hope tumeyao itakuwa uwanjan kushuhudia maana fujo zitakuwepo za kutosheleza
Sawaa, ila nimegundua wengi wenu hamuwapendi waarabu, ila uzuri wanazidi kupasua mwamba nyie mtabaki na huzuni. Acheni chukiSenegal VS Nigeria
Save hii.
Labda wewe utajifanya kuwapenda kwa sababu unaamini kwamba wao ndio wamekufanya ukamjua Mungu.Sawaa, ila nimegundua wengi wenu hamuwapendi waarabu, ila uzuri wanazidi kupasua mwamba nyie mtabaki na huzuni. Acheni chuki
Je waarabu wanawapenda weusi? Unakumbuka walichokakiongea morroco walipofanya vizuri kwenye kombe la dunia?Sawaa, ila nimegundua wengi wenu hamuwapendi waarabu, ila uzuri wanazidi kupasua mwamba nyie mtabaki na huzuni. Acheni chuki
Hapo hutawaona kabisa jihadists.Je waarabu wanawapenda weusi? Unakumbuka walichokakiongea morroco walipofanya vizuri kwenye kombe la dunia?