Final Kings cup final

Final Kings cup final

Benzema anaweka goli Moja matata hapa Ittihad wakiongoza
 
Ligi yao, timu zao, soka lao limekuwa ukiangalia game zao huwa zimechangamka, na PIRA BIRIANI linapigwa.
Sana na miundombinu ya viwanja ni mizuri sana Benz boy kapiga goli Moja matata mno
Diaby alikuwa anazingua cross zake Bergirwin kaingilia kati katoa assist ya hatari
 
Kina Al Nassr, Al Hilal msimu huu holaa...vikombe vyote vimebebwa na Al Ittihad
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom