My love" ilikuwa noma sanaRemember your mother
My love
My love" ilikuwa noma sanaRemember your mother
My love
Dah, hii movie mmhhBilionaires club
hii movie hiii chaaaaIzaga
Madam Joy inaitwaNapenda sanaa. Movie za aki na ukwa mwenye majina yake anitajie ili nidownload kujikumbushaa
Plz
INSAKABA ..mtu anapigwa panga la kichwa afu kipara kinatoka cheche kudadek..!
Hujaitaja Cassandra?Mwishoni mwa miaka ya 90 na mwanzoni mwa miaka ya 2000, kabla ya bongo muvi, filamu za ki Nigeria ndizo zilikuwa zinapeta, nakumbuka baadhi ya filamu maarufu miaka hiyo kulikuwa na "suicide mission" (kichupa), "The price" (pastor ken), conspiracy, Witches, Lady bianca, Blood sisters, Christ in me. Anayezikumbuka nyingine, hebu tukumbushane nataka nizitafute.
NB: WATOTO WA JUZI MLIOZALIWA MIAKA YA 2000+ MSICHANGIE KWENYE HUU UZI HAUWAHUSU.
INSAKABA ..mtu anapigwa panga la kichwa afu kipara kinatoka cheche kudadek..!
Mkuu, hii sio SAMADORA hii.Kuna ile ya kichawi sikumbuki inaitwaje ila wale wachawi wanaimba "achibopoo aachibopooo" noma asanaaa demu mchawi usiku anaenda kwa demu mwenzie anapiga paja lake unatokea mbonge wa MDUSHEEEE anamgegeda mwanamke mwenzie kudadadek!!
Dah!Crying for Help
Dah!Sakobi, the guardian angel hii ni copy ya hatya ya govinda