Bahati yangu
Member
- Sep 30, 2013
- 30
- 7
Confidence, Aki na Ukwa
Wakuu nawapigia salut. mnakumbukumbu hizo movie zote mlizoandika nazikumbuka na nyingine bado ninazo mmenikumbusha mbali.
Mimi kila siku siwez lala bila kuangalia movie ya nigeria uwa napenda sana na niko na library nimejaza movies tu za nigeria zaidi ya 1500.
mkuu umenikumbusha suicide mission ilinitoa machozi daa inasikitisha sana.
Hata mimi mkuu katika filamu iliyoniliza ni hii,mtu unalia kama ni kitu cha kweli.
BLOOD SISTER ilikuwa poa sana,aliigiza na yule mama ambaye always amekuwa akifanya vizuri sokoni anaitwa PATIENCE OZOKWOR,ni mama fulani uwa sometimes ana act kama katili,mda mwingine comedian,mchawi ila the gOod thing ni kuwa uwa hakosei yule mama, kiwango vibaya, haswa haswa akicheza kama mama mkwe, duh hatarii ananitiaga hasira kimtindo uwa anaudhi sana though mwisho wa siku inabaki kuwa movie, kwa wa mama ndio anayeoongoza kwa kupendwa na umaarufu uko nigeria
Crying for HelpMwishoni mwa miaka ya 90 na mwanzoni mwa miaka ya 2000, kabla ya bongo muvi, filamu za ki Nigeria ndizo zilikuwa zinapeta, nakumbuka baadhi ya filamu maarufu miaka hiyo kulikuwa na "suicide mission" (kichupa), "The price" (pastor ken), conspiracy, Witches, Lady bianca, Blood sisters, Christ in me. Anayezikumbuka nyingine, hebu tukumbushane nataka nizitafute.
NB: WATOTO WA JUZI MLIOZALIWA MIAKA YA 2000+ MSICHANGIE KWENYE HUU UZI HAUWAHUSU.