Filam ya Kibuyu

Filam ya Kibuyu

Pastor Achachanda

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2012
Posts
3,023
Reaction score
1,316
Jamani wakuu ndugu zangu nimeikumbuka filamu ya KIBUYU enzi hizo.Ilikuwa ikitangaza kuhus NSSF.Je naweza ipata wapi?
 
Bwana wewe,nahisi kudanganywa.Mi mpenzi wa muvi za filamu siku nyingi.Sijawahi kusikia hii tafadhali jaribu tena baadaye
 
Jamani wakuu ndugu zangu nimeikumbuka filamu ya KIBUYU enzi hizo.Ilikuwa ikitangaza kuhus NSSF.Je naweza ipata wapi?
Filamu ya kibuyu haikuwa ya kibiashara na haikuwahi kuuzwa sehemu
yoyote, ilitengenezwa kama mradi maalum wa NSSF, hivyo sidhani kama
unaweza kuipata kirahisi. Labda uende TBC1 ambao ndiyo waliokuwa
wakiirusha...
 
Bwana wewe,nahisi kudanganywa.Mi mpenzi wa muvi za filamu siku nyingi.Sijawahi kusikia hii tafadhali jaribu tena baadaye
Filamu hii ilitengenezwa ikiwashirikisha vijana waliokuwa wanasoma
chuo cha Bagamoyo na kuongozwa na Hammie Rajab. Inawezekana
hujawahi kuisikia kwa kuwa haikuwa ya kibiashara bali ya mradi, mara
nyingi filamu za miradi huishia kwenye makabati...
 
Filamu hii ilitengenezwa ikiwashirikisha vijana waliokuwa wanasoma
chuo cha Bagamoyo na kuongozwa na Hammie Rajab. Inawezekana
hujawahi kuisikia kwa kuwa haikuwa ya kibiashara bali ya mradi, mara
nyingi filamu za miradi huishia kwenye makabati...

Nilifanikiwa kuiona,tulinunua tape-vhs ila kwa sasa tape zote zimeshapotea ....
 
Back
Top Bottom