Fikra pevu tu ingia hapa

Fikra pevu tu ingia hapa

Salahan

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
2,961
Reaction score
3,695
0eb36bfdafe39d54c64b04989c09008a.jpg
lipi litaanza kujaa?
 
Itategemea na kiasi cha maji yanayoingia na kutoka. Kama maji yanayoingia ni mengi kuliko yanayotoka basi itaanza kujaa namba Moja. Lakini kama maji yanayoingia ni sawa na yanayotoka basi litaanza kujaa namba nne!

Yote hayo itagemea endapo hizo container zimefungwa. Kama hazijafungwa basi namba nne ikijaa maji yataanza kumwagika na mengine yote hayatajaa.
 
namba 3, likishajaa ndipo namba 4 litaanza, kwenye physics, pressure in liquid, ila haliko direct so ni vigumu kugundua
 
Litaaza namba 1 likijaa yatililika kwenda namba 2. Mwisho namba tatu na nne
 
Itategemea na kiasi cha maji yanayoingia na kutoka. Kama maji yanayoingia ni mengi kuliko yanayotoka basi itaanza kujaa namba Moja. Lakini kama maji yanayoingia ni sawa na yanayotoka basi litaanza kujaa namba nne!

Yote hayo itagemea endapo hizo container zimefungwa. Kama hazijafungwa basi namba nne ikijaa maji yataanza kumwagika na mengine yote hayatajaa.
Umejibi kitu ambacho hakuna mtu alikuwa anakifikiria
 
namba 3 itajaa kwanza. ukichunguza hiyo pipe inayopeleka maji namba 4 utagundua kwamba levo ya maji kwenye namba 3 itakua sawa na level ya maji kwenye pipe. kwaio ili namba nne ipate maji sharti namba 3 iwe na maji level ya mwisho ya pipe imwagayo maji kwenye namba 4.
 
Back
Top Bottom