Fikra mgando

Fikra mgando

Kachocho T.K

Member
Joined
Feb 1, 2011
Posts
25
Reaction score
3
Baada ya watanzania kuelekea kukombolewa na CHADEMA basi wapambe na wapambanaji wenye tambala jeusi machoni, wameanza kusema eti CHADEMA inataka kuleta vita na kuvunji amani. Kuna kosa gani wananchi kujua vitendo viovu na ukandamizaji hasa kwa wanyonge unaofanywa na serikali ikiwemo kupanda kwa bidhaa muhimu na gharama nyingine za maisha kwa mtanzania wa kawaida?
 
Kaka nakuunga Mkono kama huyu WAssira nadhani anahofia mkate wake wa kila siku eti anasema vita kama vya Uganda ndo Chadema wanataka kuleta, huu ni upuuzi mtupu na ujinga.
 
Wanazibiwa ulaji si unajua watu wanalinda mikate yao ya kila siku. ila tunazidi kuwaelewa.
 
Back
Top Bottom