Figo inahitajika

Figo inahitajika

Kumlipa mtu ili akupe kiungo cha mwili ni kosa kisheria.

Hushangai P Square mama yao alikufa lakini kiungo wangeweza kununua?

Hilo tangazo ni feki usijichomeke.


Usibabaike na kiswahili, huenda wapo India.
 
Kumlipa mtu ili akupe kiungo cha mwili ni kosa kisheria.

Hushangai P Square mama yao alikufa lakini kiungo wangeweza kununua?

Hilo tangazo ni feki usijichomeke.
Mkuu hawajasema wananunua wao wanaomba msaada 10m ni shukran
 
watatoa asante au wananunua kwa 10m ongezeni hela hata ifike. 40m kujilipua uko mtu ajenge hata kibanda
na nyie ndugu wote mna matatizo au mnaogopa kufa
Natamani ndugu wangekuwepo wakajibu hili
 
Hii nimeikuta sehemu na kujiuliza maswali mengi.Nanyi wadau wa JF someni na kutoa maoni yenu.

Familia ya A.Rimoy inaomba msaada wa kuchangiwa figo 1 (kike/kiume) kwa ajili ya mzee wao kwa yeyote atakaeguswa awasiliane nasi kwa namba :0754-657622; 0682-068821; 0713-233989; Aidha familia itatoa Tshs milion 10.kama ahsante ombi sambaza ujumbe huu kwenye magroup mengine.
50 ni pm mkuu
 
dah nipo tayari kutoa kwa laki (100,000) tatizo nakunywa pombe kali sana itakua imedhurika kidogo kama upo tayari ni pm mzee tufanye business..
Ukitoka kwenye upasuaji inabidi utafute usafiri wa daladala ili 100,000 isiishe uendapo
 
Navyoogopa kufanyiwa upasuaji hapana japo nahitaji pesa lakin sio kwa njia hii
Unaweza fanyiwa usirudi na madaktari wetu hawa
Dau likongezeka na kufikia mil.150 ?bado unaogopa??
 
Back
Top Bottom