geometry
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 466
- 356
Kupitia website yao,Fifa imeyaweka wazi majina ya Ronaldo,Modric na Mo Salah kuwa ndio majina matatu ya mwisho na mmoja wao atatangazwa kuchukua tuzo hiyo tarehe 24 mwezi huu,huku kwa mara ya kwanza baada ya miaka mingi jina la Messi likikosekana.
Majina katika vipengele vyengine ni
Kipa bora wa mwaka wa FIFA
Thibaut Courtois – Real Madrid
Hugo Lloris –Tottneham
Kasper Schmeichel – Leicester City
Kocha bora wa mwaka wa FIFA
Zlatko Dalic – Croatia
Didier Deschamps - France
Zinedine Zidane – Real Madrid
Majina katika vipengele vyengine ni
Kipa bora wa mwaka wa FIFA
Thibaut Courtois – Real Madrid
Hugo Lloris –Tottneham
Kasper Schmeichel – Leicester City
Kocha bora wa mwaka wa FIFA
Zlatko Dalic – Croatia
Didier Deschamps - France
Zinedine Zidane – Real Madrid