Nimejiona mimi kwenye matamshi ya Putin. Huuu kweli uzi wa kiumeni
Nimejiona mimi kwenye matamshi ya Putin. Huuu kweli uzi wa kiumeni
Hahahahahah vinginevyo hata kombe lenyewe linaweza lisiwepo😅! Anaweza akasawazisha kiwanja tu kikawa jaruba la mpunga😂
Shida hapa ni Putin dhidi ya USA na NATO baaasi, FIFA kimbelembele cha nini?Eeh si walijifanya ngumu kuwa Urusi haitashiriki kwenye michezo ya FIFA. Putin kasema NO RUSSIA NO PART. Huyu Putin ni mtu na nusu yaani ni kama tembo mkubwa wanataka kumfunga na kamba kwenye mti,atakata tu. Wamelegeza masharti sasa na huo ndio mwanzo at the enf of the day hiyo nyimbo ya Taifa itaimbwa na nitawakumbusha nyote Putin anawakera sana USA na NATO yake.
Naunga mkono hoja
Kwa rafudhi ya utotoni "... huyo jamaa ni mgomvi sana"Hahahahahah vinginevyo hata kombe lenyewe linaweza lisiwepo😅! Anaweza akasawazisha kiwanja tu kikawa jaruba la mpunga😂
Mkorofi😅 right wordKwa rafudhi ya utotoni "... huyo jamaa ni mgomvi sana"
Ulitaka wakae kimya ? kwan Russia inaua wanasiasa tu ? sio kila kitu kinahitaji ushabiki , tunazungumzia uhai wa binadamu ww unaleta ushabiki maandazFifa huwa haichanganyi na siasa ila inachofanya sasa ni siasa
Tumia akil zko vzr , nlitegemea kuona utimamu wako kwny kukemea mauaji ya raia wema kwa tamaa za Putin ku imeza Ukraine , siku ukivamiwa ww ndo utapata akili vzrKuna nchi imefungiw kwa kuchanganya politics na football wao apo wamemix nin na nn. Kwan wachezaj wa urus ndo walio sababisha vita? Hypocrisy FIFA
Tumia akili.zko vzr , mpira unachezwa na binadamu ambao wanaguswa na huo mgogoro hasahasa NATO vs RUSSIA , na mkorofi ni RUSSIA maana kashindwa vita ya ushawishi kaamua kushika mtutu tena anampiga mtu ambae yupo nje ya vita ya NATO vs URUSI , na bado wapo warusi wa buza wanashabikia wkt warusi wenyewe wanapinga huo uvamizNi siasa bro..kama ambavyo wao hawataki mamlaka za ndani kuingilia masuala ya uendeshaji wa soka hata wao wamejichanganya kuingilia masuala yao ya ndani..sasa wimbo wa Taifa usipgwe ndio nini! wamekiuka hata kanuni/katiba yao!
Usichoelewa ni kuwa Ulaya ni muhimu zaid kwa Warusi zaid ya hiyo Ukraine , na ndio maana wanaandamana kupinga uvamiz wa warusi ndani ya UkraineWatakavyoshituka watakuta Kyiv imepanda russian flag
Hitler alikuwa hatar zaid ndan wiki za mwanzoni alikuwa kashateka mataifa makubwaa na imaraHiyo michuano urusi atacheza na wasipongalia atachukua kombe hata kwa kuliiba ili mwamba Putin ajiwekee historia zaidi.
kichwa maandazi ni wewe ndio maana umeshindwa kujenga hoja kwani mauaji yameanza leo. Nyie ndio mlienda shule kusindikiza wengine.Ulitaka wakae kimya ? kwan Russia inaua wanasiasa tu ? sio kila kitu kinahitaji ushabiki , tunazungumzia uhai wa binadamu ww unaleta ushabiki maandaz
Imeshinikizwa na wakubwa wa duniaFifa huwa haichanganyi na siasa ila inachofanya sasa ni siasa