FIFA yaamuru Urusi kucheza bila Bendera na Wimbo wa Taifa

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limeiamuru Urusi kucheza Mechi bila Bendera na Wimbo wa Taifa katika viwanja visivyoegemea upande wowote, ikionya huenda Nchi hiyo ikaondolewa kwenye mashindano ikiwa hali ya Ukraine haitaimarika

FIFA imesema Timu ya Taifa haitashiriki kama Urusi, bali kama Shirikisho la Soka la Urusi (RFU) na Michezo yoyote ya nyumbani itafanyika bila mashabiki kwenye eneo lisiloegemea upande wowote

Shirikisho hilo limelaani mabavu yaliyotumika kuivamia Ukraine na kusema hakuna Mechi ya Kimataifa itachezwa Nchini Urusi

=======

FIFA has ordered Russia to play matches without its flag and anthem at neutral venues, warning the country could be excluded from competitions if the situation in Ukraine does not improve.

Sunday’s announcements which FIFA called “immediate first measures” were, however, swiftly criticised as insufficient by European nations.

FIFA, who condemned the “use of force by Russia in its invasion of Ukraine”, said that no international football matches will be played in Russia, and the country’s flag and anthem will be banned from any of their matches abroad.

The global governing body said the national team would not compete as Russia but as the Football Union of Russia (RFU), and any ‘home’ games would be held with no fans on “neutral territory”.

But Polish Football Association chief Cezary Kulesza criticised the FIFA stance and called for Russia to be expelled from the World Cup.

“Today’s FIFA decision is totally unacceptable. We are not interested in participating in this game of appearances. Our stance remains intact: Polish National Team will not play with Russia, no matter what the name of the team is,” he wrote on Twitter.

“If FIFA’s Human Rights Policy is more than just words on paper, now is the time to put it into effect, excluding the Russian Football Association from qualifying for the Qatar World Cup in 2022,” he added in a statement.
Poland had been due to play in Moscow on March 24.

Should Russia prevail, they are then scheduled to host the winners of a match between the Czech Republic and Sweden on March 29.

The draw for the World Cup finals, to be staged in Qatar in November and December, is set for April 1.

The Czech Republic and Sweden have also said they would not play against the Russians.

Source: Al Jazeera
 
Hicho wanachokifanya fifa ni nini kama sio siasa??
Ni siasa bro..kama ambavyo wao hawataki mamlaka za ndani kuingilia masuala ya uendeshaji wa soka hata wao wamejichanganya kuingilia masuala yao ya ndani..sasa wimbo wa Taifa usipgwe ndio nini! wamekiuka hata kanuni/katiba yao!
 
Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limeiamuru Urusi kucheza Mechi bila Bendera na Wimbo wa Taifa katika viwanja visivyoegemea upande wowote, ikionya huenda Nchi hiyo ikaondolewa kwenye mashindano ikiwa hali ya Ukraine haitaimarika

FIFA imesema Timu ya Taifa haitashiriki kama Urusi, bali kama Shirikisho la Soka la Urusi (RFU) na Michezo yoyote ya nyumbani itafanyika bila mashabiki kwenye eneo lisiloegemea upande wowote

Shirikisho hilo limelaani mabavu yaliyotumika kuivamia Ukraine na kusema hakuna Mechi ya Kimataifa itachezwa Nchini Urusi

=======

FIFA has ordered Russia to play matches without its flag and anthem at neutral venues, warning the country could be excluded from competitions if the situation in Ukraine does not improve.

Sunday’s announcements which FIFA called “immediate first measures” were, however, swiftly criticised as insufficient by European nations.

FIFA, who condemned the “use of force by Russia in its invasion of Ukraine”, said that no international football matches will be played in Russia, and the country’s flag and anthem will be banned from any of their matches abroad.

The global governing body said the national team would not compete as Russia but as the Football Union of Russia (RFU), and any ‘home’ games would be held with no fans on “neutral territory”.

But Polish Football Association chief Cezary Kulesza criticised the FIFA stance and called for Russia to be expelled from the World Cup.

“Today’s FIFA decision is totally unacceptable. We are not interested in participating in this game of appearances. Our stance remains intact: Polish National Team will not play with Russia, no matter what the name of the team is,” he wrote on Twitter.

“If FIFA’s Human Rights Policy is more than just words on paper, now is the time to put it into effect, excluding the Russian Football Association from qualifying for the Qatar World Cup in 2022,” he added in a statement.
Poland had been due to play in Moscow on March 24.

Should Russia prevail, they are then scheduled to host the winners of a match between the Czech Republic and Sweden on March 29.

The draw for the World Cup finals, to be staged in Qatar in November and December, is set for April 1.

The Czech Republic and Sweden have also said they would not play against the Russians.

Source: Al Jazeera
An enemy of the people.
 
Putin awapige kombora watie akili.
20220304_203630.jpg
 
Back
Top Bottom