Fifa WC song Dimond ndani?

Fifa WC song Dimond ndani?

Avatar

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
11,128
Reaction score
11,938
37db5b74b206d40670f0758a1b148735.jpg


Asipokuwa makini wataifungia na hii..
 
This is not good for us, haters. Shonza do something please.
 
Licha ya madhaifu na mambo yake mengine kama binadamu tulivyo, jamaa ana kipaji. Huwezi kushindana na mwenye kipaji.
 
Taarifa hii haikuwa nzuri kabisa kule clouds, maisha aya mh...
 
Mbona Alikiba kaimba kwenye makombe ya dunia tangu 1998 ,2002 , 2006 ,2010 sema hapendi kujionesha jukwaani tu..
Mondi kupewa hako kamoja tu tena urusi palipochoka ndo mnaongea hivyo
 
Diamond labda kuimba tu jukwaani..

Following in the illustrious footsteps of Shakira, Anastacia and Pitbull, it’s been announced that Jason Derulo has been entrusted with singing the official anthem for the 2018 World Cup.

For the uninitiated, Derulo is the man behind such songs as ‘Swalla’, ‘Wiggle’, ‘Tip Toe’, ‘Bubblegum’, ‘Trumpets’ and ‘Zipper’.

Anyway, the 2018 World Cup song is called ‘Colors’ and without even listening to it we can confirm it’s a banal paean to inclusiveness, global coming-together and superficial sporting positivity.
 
Diamond labda kuimba tu jukwaani..

Following in the illustrious footsteps of Shakira, Anastacia and Pitbull, it’s been announced that Jason Derulo has been entrusted with singing the official anthem for the 2018 World Cup.

For the uninitiated, Derulo is the man behind such songs as ‘Swalla’, ‘Wiggle’, ‘Tip Toe’, ‘Bubblegum’, ‘Trumpets’ and ‘Zipper’.

Anyway, the 2018 World Cup song is called ‘Colors’ and without even listening to it we can confirm it’s a banal paean to inclusiveness, global coming-together and superficial sporting positivity.
Source mkuu nikachungulie
 
Mbona Alikiba kaimba kwenye makombe ya dunia tangu 1998 ,2002 , 2006 ,2010 sema hapendi kujionesha jukwaani tu..
Mondi kupewa hako kamoja tu tena urusi palipochoka ndo mnaongea hivyo
Sawaa
 
Diamond labda kuimba tu jukwaani..

Following in the illustrious footsteps of Shakira, Anastacia and Pitbull, it’s been announced that Jason Derulo has been entrusted with singing the official anthem for the 2018 World Cup.

For the uninitiated, Derulo is the man behind such songs as ‘Swalla’, ‘Wiggle’, ‘Tip Toe’, ‘Bubblegum’, ‘Trumpets’ and ‘Zipper’.

Anyway, the 2018 World Cup song is called ‘Colors’ and without even listening to it we can confirm it’s a banal paean to inclusiveness, global coming-together and superficial sporting positivity.

Hiyo nyimbo imetoka mbona yupo Derulo peke yake
Soma komenti ya huyo Dada tafadhari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom