Ndiki de boss
Member
- Jan 19, 2017
- 93
- 62
Mkuu vip wale wataalam wa netball akina tambwe si ndio wataenjoy zaidiMikia fc watanufaika sana na haya mabadiliko, ukizingatia wengi wa wachezaji wao ni waviziaji waliokubuhu
Mkuu vip wale wataalam wa netball akina tambwe si ndio wataenjoy zaidiMikia fc watanufaika sana na haya mabadiliko, ukizingatia wengi wa wachezaji wao ni waviziaji waliokubuhu
Nimeangalia hiyo picha nikakumbuka haka kamjamaanasikia jamaa kafurahi.
Yaani wakiondoa offsides mafoward wanakaa ndani ya kumi 18 hawatoki na mabeki hawapandi.... Mpira utachezwa na viungo tula offside nalipinga, nahishi wanachezaji pinzani watakuwa nanasubiri mpira golini
Huo utakuwa kama mpira wa chandimu.Yaani wakiondoa offsides mafoward wanakaa ndani ya kumi 18 hawatoki na mabeki hawapandi.... Mpira utachezwa na viungo tu
Wewe siyo mshabiki wa soka, utakuwa mshabiki wa netball ww!Sawa kabisa. Magoli yatakuwa 20. Hebu tujiulize, ni wakati gani mpirani ambao tukio hushangiliwa zaidi? Wanataka kuongeza idadi ya matukio ya kushangilia zaidi ili watazamaji wafurahie zaidi. Matukio hayo ni wakati goli likiingia. Badala ya kushangilia mara moja tu au kutoshangilia wanataka ushangilieara 20, raha kabisa.
anataka kumbeba ronaldola offside nalipinga, nahishi wanachezaji pinzani watakuwa nanasubiri mpira golini
Kuondoa Offside Kutafanya Washambuliaji WAVIVU Kama CHIRWA na KICHUYA Kukaa na Golikipa Kwa dakika zote 90
Wale wa jangwani wanaofungwa fungwa ovyo kwa penalt watafurahi sanaWale wapenda penalti wa Msimbazi watalalamika sana.
Mkuu mi naogopa hapo kwenye offside, kutazalisha magoli mengi na kuharibu kabisa ladha mchezo wenyeweKitu cha maana hap0 ni kupunguza adhabu ya handba na kuongeza sub.vingine vitaharibu ladha ya mchezo.
Wale ndo wataenjoy sana, maana watajua hakuna tena kad.Mkuu vip wale wataalam wa netball akina tambwe si ndio wataenjoy zaidi