Fiesta vs Panya Road

Fiesta vs Panya Road

Msitishe watu. Hapa leaders ulinzi kila kona. Hata wakati wa kuondoka tutasindikizwa mpaka makwetu. Imòooòoooooooo!
 
Karibuni wote bia zimeshushwa bei ukiwa na 1000 unapata bia 3
 
Hapo jirani kuna baa inaitwa FOUR WAYS kuna pagala watu wanaendaga kukamuana Unampa mlinz jero tu unakamua kicheche chako fasta fasta.
 
Hii inawahusu wanaume wenye asili ya Dar,bcoz kuna tofauti kubwa kati ya wanaume wa Dar na wanaume wenye asili ya Dar!!!!!🙂
 
Msitishe watu. Hapa leaders ulinzi kila kona. Hata wakati wa kuondoka tutasindikizwa mpaka makwetu. Imòooòoooooooo!
Imo wapi mkuu hili tangazo huwa silielewagi nilikuwa natafutaga mtu wakunieleweaha huwa limamaanisha nini
 
Wanaoenda kwenye fiesta wengi ni washamba
 
mi najionea vioja tu nipo kwangu natazama tv naiona live lakin nakaa najiuliza hii ni starehe au adhabu maana naona wamesimama tu wananyanyua mikono mara kwa mara na wamebanana sana sasa najiuliza hivi ndo stareh za vijana wetu wa sasa au maana sisi zaman tulikua tunaenda kwenye music kistareh unakuta nafasi kubwa viti vimepangwa ukiwa na hamasa ndo unaenda stejin ukacheze bas sasa hawa vijana naona wote wapo wima hiyo no adhabu
 
Msitishe watu. Hapa leaders ulinzi kila kona. Hata wakati wa kuondoka tutasindikizwa mpaka makwetu. Imòooòoooooooo!
Unafahamu uwiano wa askari polisi mmoja analinda watanzania wangapi?Sasa jipe moyo na usubiri upelekwe mpaka nyumbani.
 
Tahadhari nzuri sana maana watoto wa Kino watakuwa wamejazana huko tayari kuwaliza Wanyasa.
 
Back
Top Bottom