Fiesta Arusha kunani

Fiesta Arusha kunani

Miiku

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
3,835
Reaction score
2,650
Ni muda sasa niko hapa Arusha town sisikii wala sioni dalili za serengeti fiesta.

Last time 2010yr ndio fiesta niliyoishuudia wakati huo fiesta ilimleta diamond na wengineo huku washabiki na wapenzi wa bongofleva wakimrushia diamond chupa za bia aina ya serengeti na baadae mikojo na mawe.

Kadhalika "machalii" huku wakitembeza beto.

Mpaka leo Ruge simsikii tena A.town.
Kama yupo hapa njoo elezea umma nini kimekusibu Rchuga.
 
Toka CHADEMA waanze michezo ya kujilipua kwenye mikutano yao, mikusanyiko mikubwa sehemu za wazi imezuiliwa.
 
Toka CHADEMA waanze michezo ya kujilipua kwenye mikutano yao, mikusanyiko mikubwa sehemu za wazi imezuiliwa.

We ukimaliza cku haujaitaja chadema huwa unawashwa makalio ee??kituliz
 
Fiesta ndo nini au unamaanisha nyimbo ya Robert Kelly?
 
DAVIDO AZUIWA FIESTA: Korti ya Kisutu Dar leo yamzuia Mnigeria David Adeleke "Davido" kushiriki Fiesta kesho kwa kuwa ana mkataba na kampuni nyingine Tanzania.
 
Ni muda sasa niko hapa Arusha town sisikii wala sioni dalili za serengeti fiesta.

Last time 2010yr ndio fiesta niliyoishuudia wakati huo fiesta ilimleta diamond na wengineo huku washabiki na wapenzi wa bongofleva wakimrushia diamond chupa za bia aina ya serengeti na baadae mikojo na mawe.

Kadhalika "machalii" huku wakitembeza beto.

Mpaka leo Ruge simsikii tena A.town.
Kama yupo hapa njoo elezea umma nini kimekusibu Rchuga.

Hicho ulichoshuhudia ndo sababu ya fiesta kutofanyika Arusha.
 
Hivi Arusha bado kuna hip hop kweli?mitaani mi nasikia taarabu na wabana pua tu,hip hop imebakia mdomoni na wale jamaa wa tukunyema ndio waliamisha watu kabisaaa...
 
Nadhani kama Arusha imeanza hivi bas mikoa mingine itafuaata..!
Fiesta ni utumwa kama utumwa mwingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom