Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,650
Ni muda sasa niko hapa Arusha town sisikii wala sioni dalili za serengeti fiesta.
Last time 2010yr ndio fiesta niliyoishuudia wakati huo fiesta ilimleta diamond na wengineo huku washabiki na wapenzi wa bongofleva wakimrushia diamond chupa za bia aina ya serengeti na baadae mikojo na mawe.
Kadhalika "machalii" huku wakitembeza beto.
Mpaka leo Ruge simsikii tena A.town.
Kama yupo hapa njoo elezea umma nini kimekusibu Rchuga.
Last time 2010yr ndio fiesta niliyoishuudia wakati huo fiesta ilimleta diamond na wengineo huku washabiki na wapenzi wa bongofleva wakimrushia diamond chupa za bia aina ya serengeti na baadae mikojo na mawe.
Kadhalika "machalii" huku wakitembeza beto.
Mpaka leo Ruge simsikii tena A.town.
Kama yupo hapa njoo elezea umma nini kimekusibu Rchuga.