Fidel 80 usikatae tafadhali

Typical Bongo...

Unalala maskini ukiamka tajiri!

Naamini Fidel hukuenda Mzambarauni kwanza ili utunukiwe hivyo vyeo vyote!!

Nawatakia kila la heri na sherehe njema.....Alichokibariki babu kimebarikiwa hata kwa Sir God!

Babu DC!
 
Typical Bongo...

Unalala maskini ukiamka tajiri!

Naamini Fidel hukuenda Mzambarauni kwanza ili utunukiwe hivyo vyeo vyote!!

Nawatakia kila la heri na sherehe njema.....Alichokibariki babu kimebarikiwa hata kwa Sir God!

Babu DC!

Mimi nina imani na wewe Babu DC sina imani na babu wa busara.

Kwa vile mm ni mwenyekiti wa kamati ya vinywaji karibu sana
 
Namie naomba kukaribishwa kwenye hilo party.........Fidel80,si utanikubalia?
 
Na mie ntazuka kiubishi ubishi, nani hapendi kinywaji............!!!!!!!!!!!!!!!!!natumia vitakavyokuwepo!
 
Mimi nina imani na wewe Babu DC sina imani na babu wa busara.

Kwa vile mm ni mwenyekiti wa kamati ya vinywaji karibu sana

Mkuu usiniuzie kesi mtoto wa mwenzio, wajukuu watapata shida. Wamemzoea babu yao anayehakikisha wako salama bila kuwasumbua!

Nitunzie kiti nyuma ili niwalee vizuri wajukuu!

Babu DC
 
finest nataka nikuulize swali.... huyu loveness naona kafanana fanana na michelle... eeenhee??? ngoja nimshtue damie hapa akae sawa sawa.... afunge na belt... ndege yataka ruka hiyo...

Aliokutuma mwambie hukunikuta bibie......:car:
 
Back
Top Bottom