binadamu huwa,wanashangaza sana..wao wanapima ubora,wa mtu kisa alianza lini yani mfano sugu alianza muzikii miaka ya 90 akitokea mtu kaanza muziki miaka ya 2008 lkn ni mkali hawez kupewa credit zake kisa kaanza 2005.........leo wakina sugu dol soul,diplomtic wanaonekana bora lakini ukifatilia nyimbo zao hakuna wanachomfikia fidQ