mokala1989
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 2,236
- 728
Unachekesha kweli,unafikiri jk alimaanisha hivyo? Kwa taarifa yako TPDF walikua tayari wamefika congo kumdaidia kabila kupambana na M23,alisema vile kwani alijua haitawezekana rwanda kuongea na FDLR,mbona mipango ya kusaidia FDLR inajikana tangu zamani sasa tz mnajifanya wakali wakati ni nyie mmelikologa,huo ndio tunaita unafiki.
subirini cha moto mtakiona.