tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
“FFU wametolewa Kigoma Mjini Iveco Mbili,Pila Moja Na Land Cruiser Hard top Nyepesi zote zimefungwa Bendera Nyekundu Juu zinaelekea Kakonko ( Buyungu).” sms kutoka Kibondo. Ninamshauri RPC Kigoma awe makini sana. HATUTAKUBALI damu ya MwanaKigoma kumwagika sababu ya siasa za CCM.
Hiyo hapo juu ni tweeter ya Mhe Zitto Kabwe Ruyagwa
Hii tabia ya baadhi ya viongozi kuwatisha wapiga kura katika chaguzi sidhani kama yanamsingi wowote.Kazi moja kubwa ya Jeshi la Polisi ni kuhakikisha ulinzi wa raia na mali zake kwa wale wanafuata sheria za nchi zilizotokana na Katiba yetu ya mwaka 1977 na mabadiliko yake.
Kwa yoyote yule atakaye enda kinyume na sheria za nchi hakuna namna lazima waliopewa mamlaka kuhakikisha wananchi wanafuata sheria za nchi watakushughulikia tu kwa mujibu wa sheria na si wengine ni Jeshi la Polisi.
Wananchi mpiga kura nenda kwenye kituo chako cha kupiga kura ukifuata sheria zote za uchaguzi zilizowekwa kwa mujibu wa sheria wala Jeshi la Polisi halitakugusa kabisa ila ukienda kinyume chake utapambana na mkono wa dola.
Hiyo hapo juu ni tweeter ya Mhe Zitto Kabwe Ruyagwa
Hii tabia ya baadhi ya viongozi kuwatisha wapiga kura katika chaguzi sidhani kama yanamsingi wowote.Kazi moja kubwa ya Jeshi la Polisi ni kuhakikisha ulinzi wa raia na mali zake kwa wale wanafuata sheria za nchi zilizotokana na Katiba yetu ya mwaka 1977 na mabadiliko yake.
Kwa yoyote yule atakaye enda kinyume na sheria za nchi hakuna namna lazima waliopewa mamlaka kuhakikisha wananchi wanafuata sheria za nchi watakushughulikia tu kwa mujibu wa sheria na si wengine ni Jeshi la Polisi.
Wananchi mpiga kura nenda kwenye kituo chako cha kupiga kura ukifuata sheria zote za uchaguzi zilizowekwa kwa mujibu wa sheria wala Jeshi la Polisi halitakugusa kabisa ila ukienda kinyume chake utapambana na mkono wa dola.