je magdalena sakaya vipi?Huyu mama kwakweli ananifanya nimpende kwa kitu kimoja, haweki minywele ya bandia au midawa kichwani mwake kama wanawake wengi wanvyofanya!
Big up sana mama yangu kwa kujali uafrika wako.
je magdalena sakaya vipi?
Mama rwakatare
Fenella Mukangara sio mshamba ndio maana haigi ujinga. mtoto wa watu kazaliwa Magomeni. Msingi kasoma Magomeni. Secondari. Zanaki. Hihh sch Jangwani. kavuka bahari Australia hadi Uingereza. Sasa angalia wabunge waliozaliwa huko. wakaja kwa train. wakafikia Kimara baadae wakahamia Mbezi. Ogopa hawa. Ni washamba na malimbukeni sana. Fungua TV bungeni uwaone. they are a DISGRACE to the african race.
Mumewe ni nani?
Napenda sana jinsi anavyosuka nywele zake, yupo natural na anajivunia uafrika wake.
Alafu Mungu kamjalia kweli.