CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,361
- 6,441
Hilo ni soka la mchangani tu,kwahiyo sio mbaya sana.Kwahiyo kisa mwanamke kazaa ndio apoteze haki yake ya kusakata kabumbu?
Mbona wanaume wanacheza mpira huku wana watoto wachanga majumbani kwao? Au mtoto ni wa mwanamke pekee?
Wewe unaleta Gender politics in technical issues!