Hilo ni soka la mchangani tu,kwahiyo sio mbaya sana.Kwahiyo kisa mwanamke kazaa ndio apoteze haki yake ya kusakata kabumbu?
Mbona wanaume wanacheza mpira huku wana watoto wachanga majumbani kwao? Au mtoto ni wa mwanamke pekee?
tunaItazamaje afya ya mtoto hapa. Jasho plus mikono michafu kushika chUcku ili kumnyonyesha mtoto jawabu litakua?
Una uhakika gani kama mikono ni michafu? Wanawake na sisi tuna haki.Mazoezi/michezo ni muhimu kwa kila mmoja.
mikono michafu tu? vp Jasho au ile chumvichumvi inaongeza ladha ya maziwa kwa mtoto jawabu
Kwani kushughulika kitandani hakuwatoshi
Kwani kushughulika kitandani hakuwatoshi
Ha ha ha nifah mwenyewe...shwari mama?
Unaonaje tukikutana pale simbakapakatwa pub tusherekee ubingwa wetu,gharama zote juu yangu?