Hapo chocolate centre umezidisha kipimo
Siku hizi nimepunguza maana meno yameanza kuniuma atiii!!!!
Kwaio nisilete tena??
Halafu unajua nina kama mwezi haujanipa niletee basi leo???
Naomba nikuletee kesho, thn unajua wewe unasahau sana?? Nilikuambia mwisho wa mwezi nakununulia nini??
Kila siku kesho kesho duh inabidi nikubali.Nimesahau kwani unaninunulia nini?
Tulipanga mwisho wa mwezi nikununulie gold na wewe gold member au sio??