Tetesi: Feisal Salum (Fei Toto) kuhamia Azam

Ngurukia

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2023
Posts
5,926
Reaction score
22,191

Feisal Salum (Fei Toto)

Ni swala la muda tu Yanga watatangaza kumalizana na Fei Toto na Azam kutangaza kumsajili.

Nyumba atakayokwenda kukaa ipo katika hatua za mwisho za Furnishing. Nyumba ipo Oysterbay karibu na kwa makamo wa raisi.

Hatimae dogo ataenda kulala akipulizwa na kipupwe cha indian ocean.
 
Sawa. Ila akumbuke tu. Mikataba lazima iheshimiwe. Anapoenda asilete UTOTO. Azam watamtoa SHOO KAMA YANGA!
 
Aende Chap!šŸ¤£šŸ¤£šŸ˜‚šŸ¤£
 
ndugu zake 5 wataajiriwa azam,mama yake atapanda meli vip hadi mwisho wa maisha yake
 
Sawa Sawa Alafanye Kazi Aepukane Kula Maharage Na Sukari
Ila Serikali Inaungiliaje Michezo
Huu ni msimu wa Wazanzibari. Sasa hivi ya kwao yanawaendea. Fei mzanzibari, azam ya mzanzibari aliesema yaishe ni mzanzibari pia tena alie na mamlaka.
 
Sawa Sawa Alafanye Kazi Aepukane Kula Maharage Na Sukari
Ila Serikali Inaungiliaje Michezo
Ukitska serikali isiingilie michezo zifute BMT na wizara ya michezo, zisiwepo kabisa.

Hapo sasa.
 
Sawa Sawa Alafanye Kazi Aepukane Kula Maharage Na Sukari
Ila Serikali Inaungiliaje Michezo
Ndio waliponikera hapo tu. Huyu dogo ilitakiwa anyooshwe kweli kweli kwa ukenge wake. Hawa wazanzibar hawaa wanasaidiana sana.
 
Fei asiporudi Yanga, aende Simba.
Kwa mfumo wa Soka la kibongo akienda timu nyingine no way!! Anaweza kuperish mazima
 
Ameharibu career yake tu. Aombe arudi pale alipokuwa ama apate nafasi Simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…