Feedback ya kingamuzi

hapo umesema!!! jamani tusaidiane kuhusu irdeto coz its applied hata kwenye MediaCom MFT930+
 
Mkuu aminia imekubali! :)

Ila simple steps, hatua tilizozifuatisha ni -
main menu;
system setting;
channel search, manual search;
frequency input
- 530
kama ninavyo nukuu.

tukumbuke kuigeuza kadi, program yao inatusoma!!!

me naona inanikatalia bwana, au coz niko mkoani? (niko mwanza)
 
ni very simple
1)click menu button kisha down arrow key mpaka kwenye item ya 4 itakupa options 2, manual na auto
2)click right arror key ili uende kwenye hizo options kisha uwe kwenye manual options
3)click ok kisha bonyeza 530 kisha click ok
4)ita search na kuonyesha 12 chanel found
5)exit mpaka kwenye menu kisha ITV na EATV zitaonekana
6)ukiona ITV na EATV hazina sauti bonyeza Track button chini ya power button kwenye remote yako mpaka utaona sauti inapatikana.

ikikubali usisahau kunipa thanks

Mbona ITV na RADIO ONE SIIPATI zingine zote nazipata.
 
Kila siku tunalalamika ccm ni mafisadi, wenyewe tunajiita sisi ni great thinkers, halafu tunajifunza jinsi ya kuchakachua. Sasa tunawalalamikia nini wengine. Nani atakayeiokoa nchi yetu. No, no, great thinkers tujadili jinsi ya kuendeleza nchi yetu siyo jinsi kuibiana wenyewe kwa wenyewe. Hapana. Hapana.
 
  • Thanks
Reactions: len
Nahisi inategemea na eneo ulilopo, maana mie nilishajaribu hii njia siku za nyuma lakini haikufanya kazi

mkuu ni kweli inategemeana na sehem ulipo hata mim nipo arusha lkn imekubali na unapoweka frequency jua kbs zinatofautiana kutoka beam 1 na nyingine.
Kwan wew uko wapi? Tukutafutie frequency za kuchakachua huko uliko.
DAWA YA JEURI KIBURI wao wana 2 ona cc mafala xana
 
Kuna haja gani ya kuwa na antenna (madishi) nyingi nyumbani mwako?

Ili kuona ITV au EATV au hata TBC hauhitaji kulipia, sasa kama umenunua Startimes huwezi kuona hizo sababu hawahusiani (hazipo kwenye pakeji yao). Sasa endapo inawezakana kutumia king'amuzi hicho hicho kupata chaneli hizi nyingine ambazo ni FTA, kuna wizi gani hapo mkuu?

Kila siku tunalalamika ccm ni mafisadi, wenyewe tunajiita sisi ni great thinkers, halafu tunajifunza jinsi ya kuchakachua. Sasa tunawalalamikia nini wengine. Nani atakayeiokoa nchi yetu. No, no, great thinkers tujadili jinsi ya kuendeleza nchi yetu siyo jinsi kuibiana wenyewe kwa wenyewe. Hapana. Hapana.
 
Kila siku tunalalamika ccm ni mafisadi, wenyewe tunajiita sisi ni great thinkers, halafu tunajifunza jinsi ya kuchakachua. Sasa tunawalalamikia nini wengine. Nani atakayeiokoa nchi yetu. No, no, great thinkers tujadili jinsi ya kuendeleza nchi yetu siyo jinsi kuibiana wenyewe kwa wenyewe. Hapana. Hapana.

peleka upuuzi wako wa siasa kuleee kwenye jukwaa la siasa hapa ktk jamvi hili hatuhitaji siasa na wala hatuzipi nafasi.
Hapa ni vitendo 2 kwakwenda mbele kaa vizuri hata wewe unaweza chakachuliwa.
Wew hujui ulisemalo xaxa hapo kuna wizi gan??
 
Back
Top Bottom