drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 295
Wakuu kuna mdau alitoa njia ya kuchakachua vingamuzi vya startimes nimefanya kama alivyoelekeza na nimefanikiwa kama charm vile nimepata chanel 13 ikiwemo tb-joshua nimefurai sana.
ILa zinasumbua sana hzi inakatakata sana picha na sauti mpaka inaboa sana nimekwenda kuripoti leo tatizo wameniboa sana wale wadada mwisho wananiambia niipeleke hapo kwao wakaingalie.
Nilinnunua jmosi wakati nalipa wakajaribu kunishawishi kama nataka itv na chanel zingine yupo fundi wao ataniprogramia kwenye computer nikacheka sana nikamwaga alipotamka 100000
ILa zinasumbua sana hzi inakatakata sana picha na sauti mpaka inaboa sana nimekwenda kuripoti leo tatizo wameniboa sana wale wadada mwisho wananiambia niipeleke hapo kwao wakaingalie.
Nilinnunua jmosi wakati nalipa wakajaribu kunishawishi kama nataka itv na chanel zingine yupo fundi wao ataniprogramia kwenye computer nikacheka sana nikamwaga alipotamka 100000