Feedback ya kingamuzi

Feedback ya kingamuzi

drphone

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2009
Posts
3,542
Reaction score
295
Wakuu kuna mdau alitoa njia ya kuchakachua vingamuzi vya startimes nimefanya kama alivyoelekeza na nimefanikiwa kama charm vile nimepata chanel 13 ikiwemo tb-joshua nimefurai sana.
ILa zinasumbua sana hzi inakatakata sana picha na sauti mpaka inaboa sana nimekwenda kuripoti leo tatizo wameniboa sana wale wadada mwisho wananiambia niipeleke hapo kwao wakaingalie.
Nilinnunua jmosi wakati nalipa wakajaribu kunishawishi kama nataka itv na chanel zingine yupo fundi wao ataniprogramia kwenye computer nikacheka sana nikamwaga alipotamka 100000
 
Sasa wenyewe wanauza, na wao wao ndiyo wachakachuaji wakubwa! tutafika? wakichakachua ikiharibika inakula kwako!
 
Sasa wenyewe wanauza, na wao wao ndiyo wachakachuaji wakubwa! tutafika? wakichakachua ikiharibika inakula kwako!

yan we acha tu hizi chanel zingine ni za free kabisa ila wao wanageuza dili na kukudanganya wanaiprogram kuingiza hzo chanel za free
 
wangekua hat wana HBO ingelipiwa..tulinunua na ikalipiwa mara moja tu..cku hz hata cjui ilipo!
 
tufundisheni basi na sisi wengine tukachakachue.....ni kuchakachua tu ndicho kilichobaki katika nchi yetu
 
ni very simple
1)click menu button kisha down arrow key mpaka kwenye item ya 4 itakupa options 2, manual na auto
2)click right arror key ili uende kwenye hizo options kisha uwe kwenye manual options
3)click ok kisha bonyeza 530 kisha click ok
4)ita search na kuonyesha 12 chanel found
5)exit mpaka kwenye menu kisha ITV na EATV zitaonekana
6)ukiona ITV na EATV hazina sauti bonyeza Track button chini ya power button kwenye remote yako mpaka utaona sauti inapatikana.

ikikubali usisahau kunipa thanks
 
ni very simple
1)click menu button kisha down arrow key mpaka kwenye item ya 4 itakupa options 2, manual na auto
2)click right arror key ili uende kwenye hizo options kisha uwe kwenye manual options
3)click ok kisha bonyeza 530 kisha click ok
4)ita search na kuonyesha 12 chanel found
5)exit mpaka kwenye menu kisha ITV na EATV zitaonekana
6)ukiona ITV na EATV hazina sauti bonyeza Track button chini ya power button kwenye remote yako mpaka utaona sauti inapatikana.

ikikubali usisahau kunipa thanks
Mkuu, mi nakutangulizia Thanks kabisa.
 
ni very simple
1)click menu button kisha down arrow key mpaka kwenye item ya 4 itakupa options 2, manual na auto
2)click right arror key ili uende kwenye hizo options kisha uwe kwenye manual options
3)click ok kisha bonyeza 530 kisha click ok
4)ita search na kuonyesha 12 chanel found
5)exit mpaka kwenye menu kisha ITV na EATV zitaonekana
6)ukiona ITV na EATV hazina sauti bonyeza Track button chini ya power button kwenye remote yako mpaka utaona sauti inapatikana.

ikikubali usisahau kunipa thanks

Mkuu aminia imekubali! 🙂

Ila simple steps, hatua tilizozifuatisha ni -
main menu;
system setting;
channel search, manual search;
frequency input
- 530
kama ninavyo nukuu.

tukumbuke kuigeuza kadi, program yao inatusoma!!!
 
Mkuu aminia imekubali! 🙂

Ila simple steps, hatua tilizozifuatisha ni -
main menu;
system setting;
channel search, manual search;
frequency input
- 530
kama ninavyo nukuu.

tukumbuke kuigeuza kadi, program yao inatusoma!!!

ndo hatua hzo hzo mkuu
kugeuza kadi kivipi cjakusoma mkuu
 
ni very simple
1)click menu button kisha down arrow key mpaka kwenye item ya 4 itakupa options 2, manual na auto
2)click right arror key ili uende kwenye hizo options kisha uwe kwenye manual options
3)click ok kisha bonyeza 530 kisha click ok
4)ita search na kuonyesha 12 chanel found
5)exit mpaka kwenye menu kisha ITV na EATV zitaonekana
6)ukiona ITV na EATV hazina sauti bonyeza Track button chini ya power button kwenye remote yako mpaka utaona sauti inapatikana.

ikikubali usisahau kunipa thanks

Nahisi inategemea na eneo ulilopo, maana mie nilishajaribu hii njia siku za nyuma lakini haikufanya kazi
 
Nahisi inategemea na eneo ulilopo, maana mie nilishajaribu hii njia siku za nyuma lakini haikufanya kazi

nafikiri kama unatumia vile vingamuzi vya kwanza azikubali kuna jamaa yangu imegoma pia
 
Drphone, nashangaa hapoa unaposema unageuza kadi! Je, unageuza hiyo kadi ili uweze kupata hizo chaneli nyingine au? naomba ufafanuzi hapo

ok nilikuwa namuliza gomer soma post za juu kidogo yy ndio alisema tugeuze kadi cjaelewa kivipi ukisoma utaelewa vzuri mkuu
 
Mkuu aminia imekubali! 🙂

Ila simple steps, hatua tilizozifuatisha ni -
main menu;
system setting;
channel search, manual search;
frequency input
- 530
kama ninavyo nukuu.

tukumbuke kuigeuza kadi, program yao inatusoma!!!

Mkuu Gomer:

Tufafanulie zaidi hapo kwenye kugeuza kadi!
 
ok nilikuwa namuliza gomer soma post za juu kidogo yy ndio alisema tugeuze kadi cjaelewa kivipi ukisoma utaelewa vzuri mkuu

Ngoja nimsaidie Gomer. Kule kwetu ukila wali wenye mchanga mwingi unaambiwa 'geuza meno'. Maana yake kula kwa uangalifu. Na yeye bila shaka ana maana kama hiyo, 'Tuwe wangalifu' kwani jamaa wanatuona kwenye program yao.
 
Ngoja nimsaidie Gomer. Kule kwetu ukila wali wenye mchanga mwingi unaambiwa 'geuza meno'. Maana yake kula kwa uangalifu. Na yeye bila shaka ana maana kama hiyo, 'Tuwe wangalifu' kwani jamaa wanatuona kwenye program yao.

mkuu umeniacha hoi kweli ni hii misamiati nilipata shida kdogo baada yakuelewa nimebaki kucheka
 
wangekua hat wana hbo ingelipiwa..tulinunua na ikalipiwa mara moja tu..cku hz hata cjui ilipo!

mkuu nifanyaje ili nipate hiyo hbo nimeskia ina keys zake kwenye irdeto 2.
 
Back
Top Bottom