RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
Hello JF Tech.... Poleni n Pirika Za Uchaguzi
Siku chach kabla ya Uchaguzi Nilikuwa Dillema Katika Kwenda Kununua Power Bank Na Wasiwasi Mkubw ni Kuwa Power Bank Nyingi Ni Fake..
Sasa Juzi Hapa Kabla Ya Zoezi la Kupiga Kura Nikaenda Maduka ya Simu Ninayoamini yanauza Vitu Genuine au 'Orginal' Nikachukua Power Bank Moja Inaitwa MI
Baada ya Kuichukua Nikaitest Pale Pale na Ikawa Inafanya Kazi Vizuri Kulingana Na Simu yangu....
Nikaja Nayo Home na Kuicharge Mpaka Full Charge maana Umeme Ulikuwepo. Huku Nikiwa Naangalia Jinsi ya Kutambua Fake Power Bank za MI Youtube na Nikahakikisha Kuwa Yangu Ni Original kabisa... Kabla Ya Kununua Nilikuwa nilihakikisha Kuwa Power Bank Output yake Inafanana Na Charger Yangu Ila Wasiwasi Wangu ulikuwa je nitapata Matokeo Yale yale kama nikiwa Na Charger yangu Kwenye Umeme wa Kawaida.. Chief-Mkwawa alisema Kwa Vile Simu yangu inatumia Quick Charger kwahiyo nisitegemee matokeo yale yale kama Ya Charger yangu Ikiwa Nimeiweka Kwenye Umeme wa Kawaida..
Ila I Thank God kwamba Matokeo niliyopata Ni Yale Yale kama Ya Charger yangu nikiwa Nimechomeka kwenye Umeme.. (AC)
USHAURI
Power Bank Zinatofautiana Nilipokuwa Pale Nilijaribu Power Bank Nyingine.. ambayo ni Genuine pia Ila Simu yangu ilikuwa Haina Charge kabisa kwahiyo nilipoijaribu ikakataa kuicharge Kabisa Ikiwa haina Moto hata Kidogo... ila Nilipoiweka Kidogo Kwenye Moto nikaiwasha Ile Power Bank Ikaweza Kuicharge..
Kwahiyo Nilikuwa Nawashauri Watu Ambao. wanataka Kununua Power Bank Please kanunueni kuliko Kuagiza Maana Unaweza Pata Hasara Hiyo Power Bank Ikashindwa Kucharge Simu yako...
Siku chach kabla ya Uchaguzi Nilikuwa Dillema Katika Kwenda Kununua Power Bank Na Wasiwasi Mkubw ni Kuwa Power Bank Nyingi Ni Fake..
Sasa Juzi Hapa Kabla Ya Zoezi la Kupiga Kura Nikaenda Maduka ya Simu Ninayoamini yanauza Vitu Genuine au 'Orginal' Nikachukua Power Bank Moja Inaitwa MI
Baada ya Kuichukua Nikaitest Pale Pale na Ikawa Inafanya Kazi Vizuri Kulingana Na Simu yangu....
Nikaja Nayo Home na Kuicharge Mpaka Full Charge maana Umeme Ulikuwepo. Huku Nikiwa Naangalia Jinsi ya Kutambua Fake Power Bank za MI Youtube na Nikahakikisha Kuwa Yangu Ni Original kabisa... Kabla Ya Kununua Nilikuwa nilihakikisha Kuwa Power Bank Output yake Inafanana Na Charger Yangu Ila Wasiwasi Wangu ulikuwa je nitapata Matokeo Yale yale kama nikiwa Na Charger yangu Kwenye Umeme wa Kawaida.. Chief-Mkwawa alisema Kwa Vile Simu yangu inatumia Quick Charger kwahiyo nisitegemee matokeo yale yale kama Ya Charger yangu Ikiwa Nimeiweka Kwenye Umeme wa Kawaida..
Ila I Thank God kwamba Matokeo niliyopata Ni Yale Yale kama Ya Charger yangu nikiwa Nimechomeka kwenye Umeme.. (AC)
USHAURI
Power Bank Zinatofautiana Nilipokuwa Pale Nilijaribu Power Bank Nyingine.. ambayo ni Genuine pia Ila Simu yangu ilikuwa Haina Charge kabisa kwahiyo nilipoijaribu ikakataa kuicharge Kabisa Ikiwa haina Moto hata Kidogo... ila Nilipoiweka Kidogo Kwenye Moto nikaiwasha Ile Power Bank Ikaweza Kuicharge..
Kwahiyo Nilikuwa Nawashauri Watu Ambao. wanataka Kununua Power Bank Please kanunueni kuliko Kuagiza Maana Unaweza Pata Hasara Hiyo Power Bank Ikashindwa Kucharge Simu yako...
Last edited by a moderator: