Fedheha kubwa kwenye mapenzi

Fedheha kubwa kwenye mapenzi

IMG-20170221-WA0007.jpg
 
Pole sana mkuu!!! Labda ulikua mcepuko!!! Mapenzi haya
 
Mahusiano yangu na mpenz Wang yalikua yanaenda vzr......alikua akinisikiliza..nitakapo muhitaji lazma aje. Yaani alikua anathamini sana kauli yangu....sikufikiri kama ananichit..........

Juzi juzi nimejua anachepuka ....looooooooooooh bora hata nisingejua...baada ya Mimi kumkalisha chini na kumlaumu kwa kuchepuka....ndo kabadilika kabisa mapenz yote kahamishia hukohuko anakochepukia....................kwangu ni zero..,

Najiuliza wenda Mimi ndo nilikua mchepuko wake.....

USHAULI KWA WANAUME WENZANGU......Dem usimpende sana mchukulie kawaida ....hata ukiachananae uwe safi tuu....namaanisha kuwa mguu mmoja ndani mwingine njee....

Hapa nimejaa stress ..nahisi.mwili wangu unawaka moto
Pole mkuu.. inatokea hiyo hali funzo kubwa hapo ni kuepuka kuweka matarajio makubwa kwenye maisha ya mtu mwingine
 
Acha kuwashauri wenzio ujinga kutedwa utedwe wewe maumivu tugawane inahusuuu
 
Pole mkuu ila hawa viumbe ni chapa ilale otherwise utaumiza kichwa bila sababu ya msingi. bora huo muda unaotumia kumuwaza chukua fyekeo jaribu kufyeka majani uone huo mwendo kasi wake kama wa bombadia😀😀😀😀
 
We oa achana na story za humu kukatishana tamaa kwingi
Wananchanganya sasa humu kisa wao wametangulia sasa sione sifa isiyopondwa umu ndani watu bana sijui tuishii ivi ivi tu asa mtu unakuwa na jumba pekeako jaman haa
 
Na wana maudhi!!! Wakipendwa hawapendeki..!
Dah asee kweli imenikuta hiyo kuna manzi nlimzimia mbaya bac alikuwa akinifanyia kibri nika achana nae kwa kuwa alijua nimempenda Sana, Dah nlijuta kupenda mpaka leo sitaki manzi tena full stop
 
Kwa hiyo we uliweka miguu yote ndani! Hizi nyimbo tunaimba hapa kila siku kuhusu hawa watu hawaamini mpaka yawatokee kama yako....Mi sikupi hata pole yangu umeyataka mwenyewe.
 
Back
Top Bottom