Fedheha kubwa kwenye mapenzi

Fedheha kubwa kwenye mapenzi

Mkuu....nilimpigia sm usku akapokea Jamaa.....nikamuuliza VP unapokea sm ya mke wng.....Jamaa akajib anavyo kuhusu wewe Mimi pia ananihusu....kwa mbali nkaskia saut ya dem ...(nipe sm yang bhana). Mkuu hapo VP niendelee kujifariji achepuki
daah... na demu mlipokutana yeye alijiteteaje.. kumsikiliza pia ni sehemu ya kujua tatizo.. kama alikabwa na wavuta bangi njiani..!!!
 
Wacha tuite FIRE usije ukaungua ungali hujapata ushauri kwa wana JF..!
 
Pole sana mkuu, yaelekea bado unaishi zama za mawe.
Alaf.......
Kwani huyo aliekufanyia hivyo, nae yumo humu..
 
Ntaoa shemeji ukinipa
NB:ushungi lazima adumishe
Yaani kwetu kuhus maswala ya ushungi usiulize usije ukashindwa ww kununua hizo shungi na baibui za kutosha
 
Mahusiano yangu na mpenz Wang yalikua yanaenda vzr......alikua akinisikiliza..nitakapo muhitaji lazma aje. Yaani alikua anathamini sana kauli yangu....sikufikiri kama ananichit..........

Juzi juzi nimejua anachepuka ....looooooooooooh bora hata nisingejua...baada ya Mimi kumkalisha chini na kumlaumu kwa kuchepuka....ndo kabadilika kabisa mapenz yote kahamishia hukohuko anakochepukia....................kwangu ni zero..,

Najiuliza wenda Mimi ndo nilikua mchepuko wake.....

USHAULI KWA WANAUME WENZANGU......Dem usimpende sana mchukulie kawaida ....hata ukiachananae uwe safi tuu....namaanisha kuwa mguu mmoja ndani mwingine njee....

Hapa nimejaa stress ..nahisi.mwili wangu unawaka moto
sie tulishayajua hayo tayar
 
Yaani kwetu kuhus maswala ya ushungi usiulize usije ukashindwa ww kununua hizo shungi na baibui za kutosha
Mpaka nmesema hivo ujue mie nipo ktk msimamo shem avater yako inafanya niamini usemacho huko kwenu so wew niandalie tu
 
Mahusiano yangu na mpenz Wang yalikua yanaenda vzr......alikua akinisikiliza..nitakapo muhitaji lazma aje. Yaani alikua anathamini sana kauli yangu....sikufikiri kama ananichit..........

Juzi juzi nimejua anachepuka ....looooooooooooh bora hata nisingejua...baada ya Mimi kumkalisha chini na kumlaumu kwa kuchepuka....ndo kabadilika kabisa mapenz yote kahamishia hukohuko anakochepukia....................kwangu ni zero..,

Najiuliza wenda Mimi ndo nilikua mchepuko wake.....

USHAULI KWA WANAUME WENZANGU......Dem usimpende sana mchukulie kawaida ....hata ukiachananae uwe safi tuu....namaanisha kuwa mguu mmoja ndani mwingine njee....

Hapa nimejaa stress ..nahisi.mwili wangu unawaka moto
Pole sana broo
 
Sheria ya maisha kila kwa kila jambo ana attempt saba... So umebakiwa na sita kwa uyo Mwanamke jishushe chini mrudie kisha alafu umuache yeye kwa kumuambia sikutaki
Pia nayo ni akili mkuu...
 
Mpaka nmesema hivo ujue mie nipo ktk msimamo shem avater yako inafanya niamini usemacho huko kwenu so wew niandalie tu
Hamna shida shem ukiwa tayr nijuze inshallah Allah ataleta kheri shem wangu
 
Back
Top Bottom