Fedheha kubwa kwenye mapenzi

Fedheha kubwa kwenye mapenzi

floow

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2017
Posts
411
Reaction score
858
Mahusiano yangu na mpenz Wang yalikua yanaenda vzr......alikua akinisikiliza..nitakapo muhitaji lazma aje. Yaani alikua anathamini sana kauli yangu....sikufikiri kama ananichit..........

Juzi juzi nimejua anachepuka ....looooooooooooh bora hata nisingejua...baada ya Mimi kumkalisha chini na kumlaumu kwa kuchepuka....ndo kabadilika kabisa mapenz yote kahamishia hukohuko anakochepukia....................kwangu ni zero..,

Najiuliza wenda Mimi ndo nilikua mchepuko wake.....

USHAULI KWA WANAUME WENZANGU......Dem usimpende sana mchukulie kawaida ....hata ukiachananae uwe safi tuu....namaanisha kuwa mguu mmoja ndani mwingine njee....

Hapa nimejaa stress ..nahisi.mwili wangu unawaka moto
 
Mahusiano yangu na mpenz Wang yalikua yanaenda vzr......alikua akinisikiliza..nitakapo muhitaji lazma aje. Yaani alikua anathamini sana kauli yangu....sikufikiri kama ananichit..........

Juzi juzi nimejua anachepuka ....looooooooooooh bora hata nisingejua...baada ya Mimi kumkalisha chini na kumlaumu kwa kuchepuka....ndo kabadilika kabisa mapenz yote kahamishia hukohuko anakochepukia....................kwangu ni zero..,

Najiuliza wenda Mimi ndo nilikua mchepuko wake.....

USHAULI KWA WANAUME WENZANGU......Dem usimpende sana mchukulie kawaida ....hata ukiachananae uwe safi tuu....namaanisha kuwa mguu mmoja ndani mwingine njee....

Hapa nimejaa stress ..nahisi.mwili wangu unawaka moto
Pole mkuu ila hawa viumbe ni chapa ilale otherwise utaumiza kichwa bila sababu ya msingi. bora huo muda unaotumia kumuwaza chukua fyekeo jaribu kufyeka majani uone huo mwendo kasi wake kama wa bombadia😀😀😀😀
 
Kila siku malalamiko asee ndo sitaoa sasa ngoja nile vyangu kwanza
 
hahahahaha mambo mengine raha sana, et "kahamia huko na now ww ndo umegeuka mchepuko" achana nae mkuu mwisho wa siku atajiona boya mwenyewe
Umenipa moyo kamanda
 
mkuu una uhakika ni kweli kachepuka... maana hapo unasema ulisikia tu!
na ushajiuliza imekuwaje mwanzo alikuheshimu ila asaivi kabadilika..!!!
 
Pole sana ndio umejua sahivi hilo?pole
 
Ulikuwa hulijui hilo...la muhimu umrudie muumba wako akuongoze upate mke sahihi....acha kupuyangapuyanga
 
Mahusiano yangu na mpenz Wang yalikua yanaenda vzr......alikua akinisikiliza..nitakapo muhitaji lazma aje. Yaani alikua anathamini sana kauli yangu....sikufikiri kama ananichit..........

Juzi juzi nimejua anachepuka ....looooooooooooh bora hata nisingejua...baada ya Mimi kumkalisha chini na kumlaumu kwa kuchepuka....ndo kabadilika kabisa mapenz yote kahamishia hukohuko anakochepukia....................kwangu ni zero..,

Najiuliza wenda Mimi ndo nilikua mchepuko wake.....

USHAULI KWA WANAUME WENZANGU......Dem usimpende sana mchukulie kawaida ....hata ukiachananae uwe safi tuu....namaanisha kuwa mguu mmoja ndani mwingine njee....

Hapa nimejaa stress ..nahisi.mwili wangu unawaka moto
Mkuu pole sana kwa kuingia mzima mzima, wenzio hizo stress tunazisikia kwa watu kama ninyi tu maana usipowekeza sehemu zaidi ya moja siku ukiachwa ndio utaujua uchungu wa mapenzi. Anyway kwa wanandoa ndio inawapasa kuingia miguu yote ndani ila kwa cc vijana hatuhitaji stress mguu mmoja ndani mwingine nje utaona dunia tamu siku zote
 
mkuu una uhakika ni kweli kachepuka... maana hapo unasema ulisikia tu!
na ushajiuliza imekuwaje mwanzo alikuheshimu ila asaivi kabadilika..!!!
Mkuu....nilimpigia sm usku akapokea Jamaa.....nikamuuliza VP unapokea sm ya mke wng.....Jamaa akajib anavyo kuhusu wewe Mimi pia ananihusu....kwa mbali nkaskia saut ya dem ...(nipe sm yang bhana). Mkuu hapo VP niendelee kujifariji achepuki
 
Back
Top Bottom