Nacho elewa,hata kama hawana tawi Moshi, mzigo wako ukiagizwa lazima Wana mechanism za kukufikishia mzigo wako,wanaweza wakukuletea wenyewe au wakuutma kwa njia nyingine...Mimi nlitmia UPS nkaupata
Wana tawi mkuu.. mwanzo lilikua pale Kahawa house lakin kwa sasa wanehamishia ofisi boma road karibu na ofisi za uhamiaji. Opposite kabisa na jengo la YWCA
Nacho elewa,hata kama hawana tawi Moshi, mzigo wako ukiagizwa lazima Wana mechanism za kukufikishia mzigo wako,wanaweza wakukuletea wenyewe au wakuutma kwa njia nyingine...Mimi nlitmia UPS nkaupata
Wana tawi mkuu.. mwanzo lilikua pale Kahawa house lakin kwa sasa wanehamishia ofisi boma road karibu na ofisi za uhamiaji. Opposite kabisa na jengo la YWCA