ngumbuke
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 502
- 535
Effenberg! Mjerumani halisi. Hana hila ndani yake.Moja ya vitu nakumbuka kwenye hiyo fainali ni team captain wa timu zote mbili huku Steffen Effenberg na Gaizka Mandieta. 🔥🔥🔥
Effenberg! Mjerumani halisi. Hana hila ndani yake.Moja ya vitu nakumbuka kwenye hiyo fainali ni team captain wa timu zote mbili huku Steffen Effenberg na Gaizka Mandieta. 🔥🔥🔥
😂😂 acha kabisa mkuuEffenberg! Mjerumani halisi. Hana hila ndani yake.
Kwa sasa tunae barcelonaFlick became only the second man after Pep Guardiola at Barcelona in 2009 to win all six available trophies in one year.
Naona mnaenda kumpa harry kane kikombe cha kwanzaHili dodo mlilookota ni hatari na nusu
Sijui alitukana wazaziDaaahhh, Kane ana gundu sana.
Dk za jioni zimemkosesha kombe
Ngoja tusubiri hizi mechi 2 zilizobaki tuone kama bahati itaangukia kwake.
Ila kimahesabu tayari kashashinda hii ndoo.Sijui alitukana wazazi
Kacheza janaBayern Munich ni bingwa na huenda akatangazwa Leo
Ila sidhani kama Vicent atabaki kama kocha pale na ukuta wake wa kina Kim
Leo alikuwa shabiki wa FreiburgLeverkusern kadraw leo hivyo Bayern tayari ni bingwa
Nimeangalia namna Bayer wamejaribu kukataa ila wapiTayari mkuu.
Daahh, Kane kavunja gundu kwa mbinde haswa
Nimeangalia namna Bayer wamejaribu kukataa ila wapi
Finally Kane is a hero