Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,870
- 2,176
nikikumbuka Barcelona walivyobebwa kwenye UEFA walipocheza na Chelsea mpaka Drogba akalia. Barcelona zama zake zimepita, mesi ameshachoka
Asilimia kubwa ya magoli yanayofungwa yametokana na Messi, sasa sijui Messi yupi umemkusudia wewe