ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Pamoja na hoja ya kiwango cha kushuka kidogo lakini bado timu imekua iki perform ktk kiwango ridhishi, shida ni hapo tulipoanza kukimbizwa na real Madrid kutufikia ndio hujuma za wazi zimekua zikionekana kabisa ili tu timu ipoteze points na Real Madrid waongoze
Kwa aliyefuatilia michezo yote hii baada ya kuanza tena la liga atakua shahidi
Real madrid katika mechi za karibuni amekua akikamatwa hasa ila kinachotokea anapewa penati! Hiyo imetokea zaidi ya mara moja ktk game tofauti
Barcelona amejitahidi kupambana na kuonyesha kiwango kizuri lakini inafikia pahala timu pinzani inapewa penati isiyo na mashiko.. Kipa Ter stegen anaipangua refa anasema hapana irudiwe!
Messi tumeona anafunga goli linakataliwa kwa Var tech... Bado majuzi Ansu fati katumbukiza goli la nne ilikua ngumu kulikubali mpaka tena wakacheki var... Kwa aibu wakalikubali
Semedo anakimbia na striker ndani ya box mtu anajiangusha! Bila hata kutazama var refa anasema iwekwe penati!
Hakika tunapigwa vita na kuna njama za wazi toka kwa waamuzi kuifanya Real Madrid kuwa mabingwa msimu huu japo Juzi Mwalimu Zinedine zidan amekanusha shutuma hizo
Barcelona fans tusife moyo Bado sisi ni timu bora duniani na tunakwenda kunyanyua kwapa kwa msaads wa mwenyezi mungu.
Kwa aliyefuatilia michezo yote hii baada ya kuanza tena la liga atakua shahidi
Real madrid katika mechi za karibuni amekua akikamatwa hasa ila kinachotokea anapewa penati! Hiyo imetokea zaidi ya mara moja ktk game tofauti
Barcelona amejitahidi kupambana na kuonyesha kiwango kizuri lakini inafikia pahala timu pinzani inapewa penati isiyo na mashiko.. Kipa Ter stegen anaipangua refa anasema hapana irudiwe!
Messi tumeona anafunga goli linakataliwa kwa Var tech... Bado majuzi Ansu fati katumbukiza goli la nne ilikua ngumu kulikubali mpaka tena wakacheki var... Kwa aibu wakalikubali
Semedo anakimbia na striker ndani ya box mtu anajiangusha! Bila hata kutazama var refa anasema iwekwe penati!
Hakika tunapigwa vita na kuna njama za wazi toka kwa waamuzi kuifanya Real Madrid kuwa mabingwa msimu huu japo Juzi Mwalimu Zinedine zidan amekanusha shutuma hizo
Barcelona fans tusife moyo Bado sisi ni timu bora duniani na tunakwenda kunyanyua kwapa kwa msaads wa mwenyezi mungu.