Naisujaki Lekangai
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 1,340
- 1,377
- Thread starter
- #21
kwangu mimi na kwa njia yoyote niliyo au nitakayotumia hakuna mdada anaye au aliyechomoa. Nitaanza na wewe Nai ili uamini!!!!!. tukimalizana rudi hapa uwape majibu
Huna lolote kaka! Ni mashauzi ya bure tu! Hata kama kwa uchawi. Usichezee damu ya kimasai na kichaga!