Uteuzi wa wamama hawa wawili unadhihirisha tatizo kubwa la Mamlaka ya Urais wa Kisultani hapa Tanzania. Miaka yote Marais wetu wamekuwa wakigawa nafasi za URC na UDC kwa marafiki , maswahiba na hata wapenzi wao.
Inachukia sana . Tabia hizi zilikuwa bayana wakati wa JK, zikaota mizizi kwa JPM. Sasa Samia naye kishaamua liwalo na liwe. Anagawa teuzi kwa Ndugu na Jamaa. Alianza na Ma DC wachache akiwamo yule binti wa Mkuranga. Leo angalia akina Fatma Mwasa ambaye yupo kwenye NGO ya Wanu Mtoto wa Rais. Anyway moyoni anasema mbona Magufuli alifanya wacha na mie nifanye tu.
Inachukia sana . Tabia hizi zilikuwa bayana wakati wa JK, zikaota mizizi kwa JPM. Sasa Samia naye kishaamua liwalo na liwe. Anagawa teuzi kwa Ndugu na Jamaa. Alianza na Ma DC wachache akiwamo yule binti wa Mkuranga. Leo angalia akina Fatma Mwasa ambaye yupo kwenye NGO ya Wanu Mtoto wa Rais. Anyway moyoni anasema mbona Magufuli alifanya wacha na mie nifanye tu.