Fatma Maghimbi huyoooooo!



Ukweli ni kwamba it is easy for them to be so, kwa sababu kwao siasa ni kama mchezo wa kuigiza..leo anaeza kuigiza kama polisi ..kesho akaigiza kama jambazi..na hii yote inasababishwa na njaa (kujaza viriba-tumbo). Kama wanasiasa wengi wangekuwa wanachukulia siasa kama it is something this nation depends on it, tungekuwa na very challenging system, si tu kutoka upinzani, bali hata kutoka kwene chama tawala. It is sad ndio tulipo na hii ndio pool ya watu tulionao.
 
mwenda tezi na omo hurejea ngamani

wale wote walioapa na kuahidi watakilinda mpaka kufa hawawezi kihama

hata slaa ni wetu is A matter of time
 
Sasa turudi na tuwatazame wanasiasa waliondoka CUF, nyinyi ndio mtaniambia ni nani na nani ndio walioendelea mbele katika hayo waliyoyafatia huko walikokwenda.
Mapalala, Michael Nyaruba, Shaibu Akwilombe, Tambwe Hiza, Wilfred Lwakatare, Aliekuwa mbunge wa Kigamboni, Pro. Abdalla Safari, Naila Jidawi, Salim Msabah, na wengine marehemu siwataji (mungu awe radhi nao) n.k
kuondoka kwao mimi sioni kama ni pigo kubwa sana kwa Chama, in fact ni changamoto ambazo chama lazima ikutane nazo na ioneshe uwezo wa ku-zi handle. Huo ndio upevu wa kisiasa.Mpooo CUF zindabaad. Viva CUF ,Viva Tanzania Viva WaTanzania Aluta continue...!!!:yield:
 
LOOOOOOOOOOOOOOOOOOO!
Licha ya umri wake, ila nisingejali iwapo angekuwa amefunnga ndoa na mume mwingine au kupata ujauzito. Lakini hili; abarikiwe hakika kazi tunayo!
 
Kwa nini wamerudishia kadi Kawe? mimi nigedhani ingekuwa vyema huyu mama angefanya hivyo Pemba! Au ndiyo anahamia kwa machogo?

Amandla.....
 
Kwa nini wamerudishia kadi Kawe? mimi nigedhani ingekuwa vyema huyu mama angefanya hivyo Pemba! Au ndiyo anahamia kwa machogo?

Amandla.....

Angerusha kadi pemba wangemuuliza maswalia ambayo angeshinda kuyajibu...
 
Kwani naye alikuwa mpinzani au ndio vile vibandiko tulivyovizoea ambavyo vinawekwa kila sehemu kudanya watu wengine?
 

Mama Maghimbi ana mengi ya kutufundisha sisi vijana tunaokubali kubebwa kama vipochi bila ya kudadisi mambo....Amekuwa disappointed na CUF kwa muda mrefu sana na zaidi wale wanaojidai kuwa ndio wenye chama walikuwa wakimtenga tangia wamuondoe katika uongozi wa kambi ya upinzani bungeni....
 

Mkuu,nafikiri mvumilivu hula mbivu! Nina ogopa sana jinsi hivi vyama vya upinzani vilivyojengwa jengwa. Kama alisimamia haki, alitakiwa asimame hivyo mpaka mwisho. Tukumbuke historia haziandikwi na watu wanaobadilika kutokana na kuvuma kwa upepo, na Mandela ni shahidi mkubwa wa hilo.
Mi naona amerejea kule alikokuwa siku zote, Lol
 
mwenda tezi na omo hurejea ngamani

wale wote walioapa na kuahidi watakilinda mpaka kufa hawawezi kihama

hata slaa ni wetu is A matter of time

Slaa wenu? Kaa la moto? Labda mumbadilishe mtazamo kwanza ama sivyo ni kubabuka tu! Waliomwengua awali hawakuwa wajinga kama inavyofikiriwa; jamaa hafiti kabisa katika mipangilio ya wakulu (mafiosi) wenye chama chao. Manake huo ndio mlango ambao kelele zake shurti mwenye jumba alale macho! :biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
"kwenye msafara wa mamba na kenge,mjusi wamo"
wako wengi lakini watajichuja wenyewe kutokana na mabadiliko ya siasa ndani ya vyama vya upinzani ambavyo navyo vinafanya demokrasia katika michakato yakupata viongozi hakuana aliyezaliwa kuongoza wote twafaa kwa kujifunza na vipaji huree mh mghimbi aluta kontinua nenda kwenu sifa ya ccm ni kuwa na watu wake kwenye vyama vya upinzani lakini naamini vijana wanaokuja kuchukua sasa madaraka ndani ya vyama hivi ni wapizani wa kweli wengi wao.
 
Mama Fatma Mussa Maghimbi (64) tunamtakia kila la kheri na safari zake zote mbili
 

Taib.

Ni rahisi kwa mnafiki kubadilika kama kinyonga. Ila kwa mwanamapinduzi yu tayari kujitoa kwa kile anachokiamini. Kama kweli tatizo lilikuwa CUF, basi alikuwa na nafasi ya ku-retire siasa kwa heshima wakati angali kiongozi. Na angeheshimika kama mmoja wa wamama madhubuti ktk duru za siasa ya nchi hii. Lakini kwenda kuungana na adui, it speaks volumes kuhusu huyu mama. Pengine kama ulivosema alikuwa inside operative wa CCM.
 

Kama yeye na mumewe wanalandana basi ni bure kabisa! Halafu umesehau kwamba alikuwa katibu mhutasi (personal secretary) wa Hayati Abeid Karume na kuwa wapenzi kama nyumba ndogo. Mimi mchango wake wala sijauona kama ule wa Dr. Slaa, Zitto Kabwe.
 
Alikotoka na aendako the difference is the same, nyumba ni ileile waweza kupitia mlango wowote, mtakutana tu ndani!
 

Na wawe tayari kupokea matokeo ya uchaguzi 31 oct 2010. Na chama kiwaandae wanachama wake kisaikolojia....
 
If you cant fight them........................................
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…