kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,087
- 450
Siyo ccm ya Julius kambarage nyerere ,yenye mashiko ya utu,usawa,haki,kujali wanyonge kujali rasilima za umma,utawala bora ,utawalawasheria na si jii ccm ambayoimepotea njia isiyo na dira wa itikadi imebakiza watu wakujioendekeza na kupongeza huku umma ukishangaa nakutindkiwa na maisha mabovu haijawahi kutokeaKama kama Fatuma anatumika na UKAWA.. Ana tofauti gani na wewe unayetumika na CCM?