Fatma Karume amshtaki Polisi aliyemzonga Mahakamani, adai fidia ya bilioni moja

Askari wa kiume atamshikaje mwanamke? Kama angekuwa mkewe au mama yake angefurahia? Jeshi letu limejaa askari wa kike, walikuwapo wapi? Hawa askari walikuwa hawajui kama mahakamani kuna watu wa gender zote?

Hii ni sawa na mganga mkuu wa hospitali kuamua kuwapikia wagonjwa wote chakula cha aina moja wakati kuna wagonjwa wa maradhi tofauti hospitalini. Na jeshi la polisi linapopeleka askari kwenye public lazima mwanamke awemo japo mmoja kuachana na tabia ya kugusagusa dada na mama zetu ovyo.
Mkuu.kunasehemu nilikuwa ,dada mmoja akawa anatishia kwenda kujichoma kisu na kulikuwa na askari wote wakiume...nikawaambia kwanini wasimkamate mtu huyu anaetaka kujichoma kisu??? Wakanijibu sheria zao zinasema huyu mtu inapaswa ashikwe na askari mwanamke siyo wao wa kiume.....
Sasa mijitu inavomropokea huyu binti karume ,mimi nayacheeekaaa....yanadhani binti karume ni mwehuuuu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mama naye ni jipu! Asituletee ujanja ujanja wa sheria wa kugeuza geuza maneno na kuwaaminisha watu njano kuwa nyekundu. Anaweza kutuambia aliumiaje kwa ushahidi wa vipimo na pia kama alionwa na daktari asiyekuwa na chembe ya ushabiki wa chama fulani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi umefikir nje ya box mkuu?, huyu dada lengo si BILLION MOJA lengo ni kutoa funzo tu kama ile ya manji na mengi kudaiana shling 1

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe unayejifanya unafikiri ndani ya box ndiyo bure kabisa, unavyotoa onyo hupaswi kumpania mtu kama ndiyo njia ya kumkomesha. Hapo ni kuzidisha chuki tu. Huo sio urithi wa waasisi wa taifa letu, hata marehemu baba yake hakumwachia urithi wa tabia hiyo.
Hivi umefikir nje ya box mkuu?, huyu dada lengo si BILLION MOJA lengo ni kutoa funzo tu kama ile ya manji na mengi kudaiana shling 1

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe unayejifanya unafikiri ndani ya box ndiyo bure kabisa, unavyotoa onyo hupaswi kumpania mt

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu msala ataachiwa polisi mwenyewe kama yule mkuu wa wilaya ya Hai. Huyo polisi marupurupu yote na hela za brush zinasepa.
Dah hiv vyes vinazidi kupanda dau alianza lissu kwa wenyeviti wake kukamatwa 200million, akafuata mbowe vs DC Hai 500million, now ni fatma vs askari polis 1 billion..... cjui next itakuwa ngapi!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wewe unayejifanya unafikiri ndani ya box ndiyo bure kabisa, unavyotoa onyo hupaswi kumpania mtu kama ndiyo njia ya kumkomesha. Hapo ni kuzidisha chuki tu. Huo sio urithi wa waasisi wa taifa letu, hata marehemu baba yake hakumwachia urithi wa tabia hiyo.

Mkuu wewe unayejifanya unafikiri ndani ya box ndiyo bure kabisa, unavyotoa onyo hupaswi kumpania mt

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu kuwa mwelewa,huyu dada anajua fika polisi hana uwezo wa kulipa 1bilioni kitakachofanyika ni kuombwa msamaha tu then yameisha. Hili litakuwa funzo kwa wendawazim wengine polisi.
Manji alidai 1 tsh au kuombwa msamaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anayeunga mkono kushikwa vile Bi Fatima karume , Hiyo ni zuzu, Hivi mkeo waweza kukubali akashikwa hivyo? yaani Wewe mwanaume mkeo akumbatiwe vile kiss anayemkumbatia ni askari eti uwe mpole!! Wewe ni zoba kabisaa, Mimi siungi mkono Mke Wangu kushikwa vile, Kumbuka Fatima anamumewe ,picha hizo zimesambaa , Mumewe anajisikiaje huko aliko? Watoto wake ? Wakwe zake wanamtazamaje? Acheni ushabiki, kemeeni matendo maovu bila kuangalia sura ya nani katenda na ananafasi gani kwenye jamii
 
Ndugu kuwa mwelewa,huyu dada anajua fika polisi hana uwezo wa kulipa 1bilioni kitakachofanyika ni kuombwa msamaha tu then yameisha. Hili litakuwa funzo kwa wendawazim wengine polisi.
Manji alidai 1 tsh au kuombwa msamaha

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna vitu unashindwa kuvielewa na kuvifanyia kazi kiuchambuzi wa binge lako! Manji huwezi kumfananisha na bi Fatima kiuchumi. Manji ana jeuri ya pesa na ndiyo maana kama unakumbuka hata kwenye kesi na Mzee Mengi alileta dharau akamwambia amlipe sh. Moja ya kitanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This could be an example of what the law profession calls "a frivolous lawsuit"!
Vilaza mna taabu kweli kweli...ingekuwa kwa wenzetu huyo polisi angekuwa keshakamatwa, kusimamishwa kazi na kufunguliwa kesi na vyombo vya dola. Hii hapa ni mifano michache tu halafu wewe unaita frivolous! Labda hujui maana ya hilo neno.
  • BATON ROUGE- A Department of Public Safety Officer was arrested, accused of touching a woman inappropriately during a traffic stop.
  • An Anne Arundel County police officer who is accused of inappropriately touching a woman has been charged, police said Friday. Officer Bradly Tuthill was charged with fourth-degree sex offense, second-degree assault and two counts of malfeasance in office.
  • Nassau police are working to track down the man who allegedly touched a woman on a NICE bus in Hempstead. Detectives say the woman snapped the man's picture Thursday morning on the N-6 bus after he allegedly placed his hand on her leg.
  • FRIENDSWOOD, Texas (KTRK) --A former Friendswood police officer has been charged with indecency for touching a girl younger than the age of 17 on Feb. 21. At the time of the alleged incident, Kimball was still employed as an officer with the department. He was terminated on April 20.
  • HENDERSONVILLE, Tenn. (WKRN) – A man accused of touching a woman inappropriately at a Hendersonville merchant has been arrested. The victim reported it happened while she was shopping on Friday.



Huyu wa kwetu kamshika afisa wa mahakama kwenye eneo la mahakama na ushahidi wa video upo. Huyu angesimamishwa kazi hapo hapo, kuswekwa ndani na kufunguliwa kesi na kesi yenyewe ingeisha asubuhi.
 
Vilaza mna taabu kweli kweli...ingekuwa kwa wenzetu huyo polisi angekuwa keshakamatwa, kusimamishwa kazi na kufunguliwa kesi na vyombo vya dola. Hii hapa ni mifano michache tu halafu wewe unaita frivolous! Labda hujui maana ya hilo neno.
  • BATON ROUGE- A Department of Public Safety Officer was arrested, accused of touching a woman inappropriately during a traffic stop.
  • An Anne Arundel County police officer who is accused of inappropriately touching a woman has been charged, police said Friday. Officer Bradly Tuthill was charged with fourth-degree sex offense, second-degree assault and two counts of malfeasance in office.
  • Nassau police are working to track down the man who allegedly touched a woman on a NICE bus in Hempstead. Detectives say the woman snapped the man's picture Thursday morning on the N-6 bus after he allegedly placed his hand on her leg.
  • FRIENDSWOOD, Texas (KTRK) --A former Friendswood police officer has been charged with indecency for touching a girl younger than the age of 17 on Feb. 21. At the time of the alleged incident, Kimball was still employed as an officer with the department. He was terminated on April 20.
  • HENDERSONVILLE, Tenn. (WKRN) – A man accused of touching a woman inappropriately at a Hendersonville merchant has been arrested. The victim reported it happened while she was shopping on Friday.



Huyu wa kwetu kamshika afisa wa mahakama kwenye eneo la mahakama na ushahidi wa video upo. Huyu angesimamishwa kazi hapo hapo, kuswekwa ndani na kufunguliwa kesi na kesi yenyewe ingeisha asubuhi.


Sidhani kama unaelewa context na aina ya kesi aliyoifungua!

I have warned time and time again against the dangers of "outsourcing your brain functions to Tundu Lissu"!

If Karume is awarded the hefty TZS1 billion in general damages, I'll dump my current career immediately and put myself on the path to practice law. In fact, the would-be awarding judge must have made a completely wrong career choice for himself or herself in becoming a judge. Also, there should be no citizens voluntarily seeking and accepting policing jobs!
 
Sidhani kama unaelewa context na aina ya kesi aliyoifungua!
Jaribu kumsoma mtu unayewasiliana naye ni mtu wa namna gani kabla ya kuanza kuanika umbumbumbu wako jamvini. Swala hapa ni kuwa wapo watu/viongozi wasiojua mipaka ya madaraka yao na hiyo ndio sababu vilaza mnashangilia na kupiga vigelegele hata pale kiongozi anapovunja katiba aliyoapa kuilinda na kuitetea. Lengo la hii kesi si pesa ni kutoa funzo na kuwapa watu kama ninyi elimu, muweze kujua haki zenu kama raia ambazo lazima zilindwe.
I have warned time and time again against the dangers of "outsourcing your brain functions to Tundu Lissu"!
Wow, what an idiotic statement! Who have you warned time and time again? Do you have any idea of who you are talking to? Why don't you get back to whatever cave you crawled from?
If Karume is awarded the hefty TZS1 billion in general damages, I'll dump my current career immediately and put myself on the path to practice law. In fact, the would-be awarding judge must have made a completely wrong career choice for himself or herself in becoming a judge. Also, there should be no citizens voluntarily seeking and accepting policing jobs!
See what I mean? You have completely no idea of what kind of message this lawsuit sends to people who act with impunity under the pretext of a non-existent order from above. Even if the judge reduces the amount to one shilling, the message delivered is that stupid and unlawful police actions have consequences.
 
Safi sana Fatma najua umeamua kuchagua upande wa wananchi japo umezaliwa upande wa kifalme ni watu wachahe sana wa upande wa ufalme kuamua kuwa upande wa watu simamia haki zako kisheria hili watu wanaotaka kuwarizisha wafalme wajifunze uko mbeleni wakumbuke kuwa yakiwakuta wanakuwa wako peke yao
Naunga hoja yako. watanzania wananyanyaswa sana jeshi is polisi hili lifundisho na litufungue macho watanzania tudai na tutetee haki zetu za msingi. Tuna bahati mbaya waziri mwenye dhamana sijaona kama kuna maelekezo kwa watendaji wake dhana ya Mhe Rais ya kuwajali wanyonge ama wananchi. Kubamnikia kesi, kupindisha kesi, Vitisho na RUSHWA tupu wizara hii.

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Jaribu kumsoma mtu unayewasiliana naye ni mtu wa namna gani kabla ya kuanza kuanika umbumbumbu wako jamvini. Swala hapa ni kuwa wapo watu/viongozi wasiojua mipaka ya madaraka yao na hiyo ndio sababu vilaza mnashangilia na kupiga vigelegele hata pale kiongozi anapovunja katiba aliyoapa kuilinda na kuitetea. Lengo la hii kesi si pesa ni kutoa funzo na kuwapa watu kama ninyi elimu, muweze kujua haki zenu kama raia ambazo lazima zilindwe.

Wow, what an idiotic statement! Who have you warned time and time again? Do you have any idea of who you are talking to? Why don't you get back to whatever cave you crawled from?

See what I mean? You have completely no idea of what kind of message this lawsuit sends to people who act with impunity under the pretext of a non-existent order from above. Even if the judge reduces the amount to one shilling, the message delivered is that stupid and unlawful police actions have consequences.

You're one of those who have wittingly or unwittingly "outsourced your brain functions" to Tundu Lissu! For this reason, I believe engaging you in a high-stake debate such as this serves no purpose. ...And, unless and until you bring your brain function back in house, please do yourself a favor by steering clear of issues that you're unable to contextualize and fully understand. The examples you initially brought up more than attest to the dire warning of your misunderstanding of issues!
 
Back
Top Bottom