Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,138
Tena KE wengi wanaendesha familia zao, ME wengi suruali tu.
Thank you!!
Huu ndio ukweli wasiotaka usemwe hadharani.
Tena KE wengi wanaendesha familia zao, ME wengi suruali tu.
Ku share kwa maana ya kumsaidia baadhi ya bills haina shida,ila akitaka ku split kila bill tulipe 50 50 ajue zamu ya kudeki na kuosha vyombo iko njiani!!
Kwani tatizo la kudai haki sawa ndani ya familia linaanzia wapi? Ni ile kutaka kupangiana zamu za kupika, kutandika nk. Ndoa sio mahali pa kufanyia harakati, ni mahali pa kuonyeshana uvumilivu na kurekebishana kwa Upendo!
sawa!! ila hiyo namba 5 sizani.