Jamani naomba mnisaidie kuhusu huyu Padri wa kanisa la Roma na mwanaharakati machachari hapa nchini kwetu, kuna habari nimezipata kwenye chitchat zangu kuwa ameuasi upadirisho na anafamilia ya watoto wawili. Zaidi nimeambiwa anakanisa lake mwenyewe, nimeambiwa pia yuko humu JF ingawa ID tumeshauriwa tusizitaje lakini nimepewa anayotumia ingawa sijaijaribu kujua kama kweli ni yake. Embu yeyote ajuaye aninyooshee kuhusu umbeya huu wa chini ya kapeti