Fastjet Wanatesa na kudharau Abiria

Fastjet Wanatesa na kudharau Abiria

IPECACUANHA

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2011
Posts
3,230
Reaction score
1,925
Fast jet wamewaweka abiria kutoka saa nane mchana bila taarifa hadi saa tano usiku bila taarifa yeyote Kutoka Mwanza. Mateso mateso
 
Bure Gharama...
Cheap is Expensive...
 
Hawa Jamaa ndio Tabia zao we unashangaa nini na mnaweza mkaka hata masaa 10 dezo gharama
 
Unaongea kama unapumulia kwenye njia isiyo na meno..niko hapa airport pia.nilitakiwa ku connect na ndege ya kwenda dubai saa 7.hadi saa hii 6:30.hawa jamaa ni Washenzi kwa ujumla
 
kama ni kweli hapo ndo pakupigia hela... unawadai hata million 50 za kukulostisha
 
Unaongea kama unapumulia kwenye njia isiyo na meno..niko hapa airport pia.nilitakiwa ku connect na ndege ya kwenda dubai saa 7.hadi saa hii 6:30.hawa jamaa ni Washenzi kwa ujumla
Mmh mbona hueleweki kiongozi? Ebu tupe habari kamili. Poleni sana.
 
Back
Top Bottom