mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 821
- 1,338
jamaa alikula milioni 30 kulainiiiiKuna uzi mmoja wa mwanasheria mmoja alikuwa na mtafaruku na hao fast jet na alilipwa kias fulan cha hela baada ya kuwapeleka mahakaman sikumbuk vzur, so kama wanaweza wakawafungulie case tu moja matata ya kulipa fidia watashika adabu
Yeah ni kwel kabisa tatzo ni hatujitambui tu na haki zetu za msing basijamaa alikula milioni 30 kulainiiii