Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 7,896
- 21,304
Sawa dada tumekusikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe hii biashara ina faida eeh? Pamoja na kupata hasara kila mwaka bado Fastjet wanang'ang'ania kufanya hii biashara? Basi zile zitakuwa zilikuwa hasara za kwenye makaratasi.
Sent using Jamii Forums mobile app