Fast Jet kununua ndege mpya 6 kwa ajili kurejesha shughuli zake kwenye soko la Tanzania

Unafikiri atcl wanatamani fsjet irudi!! Wanajuwa kabisa ikirudi wateja watapungua na bei zitashuka.

Sidhani kama ATCL wako kwenye hizi routes South Afrika , Nairobi, Mombasa.

Kama ATCL inataka inaheshimika, kupendwa, kuwa sustainable, profitable, top player and to be here for long haul inabidi ikubali ushindani wa ndani na nje.

In any case ATCL cannot cover all routes. Tunahitaji other Airlines to bring tourists from Canada, Japan, USA, Russia, Germany etc. Ushindani haukwepeki. Solution ni ATCL kujipanga vizuri.

Wafanye booking iwe easy online, wazingatie muda, wajitangaze zaidi ndani na nje.
 
Warudi tuone itakuwaje kwenye soko la ushindani
Kwa hii serikali ya wazee wa figisu figisu szani kama wataruhusiwa ku operate tena!! Kwani mindege ya jamaa itaweza kukosa abiria, kama nauli zao zitakuwa kama zile za zamani!! Duniani kuna watu wa wana vitimbi kuliko hata vya shetani
 
Kwa hii serikali ya wazee wa figisu figisu szani kama wataruhusiwa ku operate tena!! Kwani mindege ya jamaa itaweza kukosa abiria, kama nauli zao zitakuwa kama zile za zamani!! Duniani kuna watu wa wana vitimbi kuliko hata vya shetani
Serikali ya awamu ya tano inakubali ushindani ndiyo maana inaweka mazingira mazuri kwa wawekezaji wetu
 
Jamaa kwa nini wasielewe tubkuwa mzee wa roho mbaya hawataki kabisa hapa nchini. Yani tumenunua midege yote ile afu waruhusiwe tu kiurahisi kubeba watu wa elfu 50.
Pumbavu
 
Baba ubaya anaogopa ushindani kuliko Ebola historia haionyeshi kama amewahi shinda chochote nje ya kubebwa.
 
Shirika la ndege la Fast Jet liko mbioni kununua ndege mpya sita kwa ajili ya kurejesha shughuli zake kwenye soko la Tanzania huku likiendelea na mchakato wa kutafakari aina ya mwekezaji wanayemtaka kufanya nae biashara.

Mkurugenzi mtendaji wa shirika la Fast Jet Lawrence Masha amezungumza hilo huku akisema wataleta ndege mpya sita za kuanzia kwanza na lengo ni kurejesha safari za Afrika Kusini, Nairobi na Mombasa huku akibainisha kwamba wamelipa madeni yaliyokuwa wanadaiwa na mamlaka ya shirika la anga nchini.View attachment 1034927
Safi sana..But ushauri wangu msije mkaweka domestic trip Kuna mshindani apendi kushindwa atawaletea figusi..
 
Hivi mnaamini hii habari hawa hawa fastjet wa Masha au kuna mtu mwingine ??
 
Back
Top Bottom