Fashion na mitindo ya mjini

Fashion na mitindo ya mjini

NEW NOEL

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2011
Posts
863
Reaction score
409
kuulamba.jpg kuulamba2.jpg
 
Hii si fashion, huyu ni msanii na anafanya hivi ili kupata attention, hatimaye na bishara yake inunuliwe au kuuzika. Mbona inaeleweka tu ila kumweka na kusema eti ni fashion, that's not true. Ila pamoja na usanii wake bado anaonekana kama mwana Chalinze kama asemavyo mkuu Twilumba
 
Last edited by a moderator:
Mode mmefanyani mbona sioni picha natumia BB
 
Mtu akivaa mlege , mara ohh hana adabu! Akipandisha nayo ni shida?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Ni mbunifuuuu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Niliwahi kuona Diwani mmoja wa huko Mtera wa magamba kavaa hivyo!!!!
 
Back
Top Bottom