GE2025 Faris Buruhani: Haupewi uongozi CCM kama hujajaribiwa au kupimwa

GE2025 Faris Buruhani: Haupewi uongozi CCM kama hujajaribiwa au kupimwa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
:Uongozi ndani ya CCM si cheo, bali ni dhamana inayopatikana kwa safari ya majaribio, maumivu, subira na kujitoa bila masharti. Wapo waliogombea na wakashindwa, lakini hawakurudi nyuma wala kuhama Chama. Walitumikia chama kwa nguvu zote, wakajenga imani, na leo wamepewa tena nafasi ya kugombea wakashinda hivyo twendeni tukatafute ushindi wa Chama chetu na wagombea wetu" amesema Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera ndugu Faris Buruhani

Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera ndugu Faris Buruhani alipokuwa akizungumza kwenye kikao cha ndani na Vijana wa kata ya Kilimille wilayani Missenyi, ikiwa ni mwendelezo wa mikakati ya kutafuta ushindi wa CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025


 
29th October ni JIBU kwa maswali yote
 
Ingekuwa ni hivyo tungekuwa sawa na Korea Kusini, Malaysia, Singapore na Vietnam
 
Wanakupima kama huna akili vizuri ndo unafaa
 
:Uongozi ndani ya CCM si cheo, bali ni dhamana inayopatikana kwa safari ya majaribio, maumivu, subira na kujitoa bila masharti. Wapo waliogombea na wakashindwa, lakini hawakurudi nyuma wala kuhama Chama. Walitumikia chama kwa nguvu zote, wakajenga imani, na leo wamepewa tena nafasi ya kugombea wakashinda hivyo twendeni tukatafute ushindi wa Chama chetu na wagombea wetu" amesema Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera ndugu Faris Buruhani

Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera ndugu Faris Buruhani alipokuwa akizungumza kwenye kikao cha ndani na Vijana wa kata ya Kilimille wilayani Missenyi, ikiwa ni mwendelezo wa mikakati ya kutafuta ushindi wa CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025


Iwapo ni kujaribiwa na shetani nitakubali ila sio maigizo ya mchujo ama ushindani kwa hoja ama kura!
 
Basi hizo njia za kupima ni za ajabu na hovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom